Nivaeje baada ya kuolewa?

Mkuu, fikiri mkeo (lets assume you are a man) ulimwoa akiwa na tabia ya kuvaa decent! Ghafla anapata mashosti wanaomshauri avae hizi 'taiti' wanazovaa siku hizi. Kama mwanaume huwezikukataa kweli hapo?

Mashosti, wamemSHAURI akakubali; kwanini nawe (mumewe) usimSHAURI avae decent? Nobody can make a a free person do something she/he doesn't want; lkn one can influence change!
 
ukishaolewa automaticale akili inajitune kama zamani ulikuwa unaacha ka kitovu nje utaanza kuvaa top inayofunika vihpsi pamba za ukweli lakini zenye heshima yake kama mama.viskin jeans tunavaa lakini vinaenda na kitop chenye heshima nk nk
 
vaa amendavyo mumeo,vaa nguo za heshima zitakazo kupa heshima mbele ya jamii kama mwanamke na kama mke wa mtu,pia mavazi yanayokubalika hata mbele za Mungu.
 
Mkuu kama ulikuwepo vile, nilikuwa navunga tu kuuliza...

Ni kama mkufu mdogo ambao unavaliwa kwenye mguu, hasa wa kushoto lakini wengine wanavaa miguu yote. Ni staili fulani ambayo baadhi ya wanaume wanaipenda. SI unajua dada zetu wengi huvaa vile ambavyo wanaume wao (wapenzi, wachumba na waume) hupenda? Nasikia kuna VIbata siku hizi.Vipi, vinavaliwa kwenye kidole cha mguu au wapi????
 
Ni kama mkufu mdogo ambao unavaliwa kwenye mguu, hasa wa kushoto lakini wengine wanavaa miguu yote. Ni staili fulani ambayo baadhi ya wanaume wanaipenda. SI unajua dada zetu wengi huvaa vile ambavyo wanaume wao (wapenzi, wachumba na waume) hupenda? Nasikia kuna VIbata siku hizi.Vipi, vinavaliwa kwenye kidole cha mguu au wapi????
Hivyo vibata ningependa kuvifahamu
 
Vaa mavazi ambayo kama ni mkristu unaweza kuyavaa kanisani na humu Mola wako akawawa anafurahia uvaaji wako na kam muislam vaa vazi ambalo hata msikitini unaweza vaa. maana kuna wengine nguo za kanisani/msikitini na za kwingineko ambazo mara nyingi ni za utata saana
 
Vaa mavazi ambayo kama ni mkristu unaweza kuyavaa kanisani na humu Mola wako akawawa anafurahia uvaaji wako na kam muislam vaa vazi ambalo hata msikitini unaweza vaa. maana kuna wengine nguo za kanisani/msikitini na za kwingineko ambazo mara nyingi ni za utata saana

Hawa wanamweshimu Mungu maeneo ya ibada
 
Baada ya kuolewa fahamu kwamba huko peke yako, niovyema kujua nini mwenzako anapenda kwa heshima ya Familia na ukafuata hivyo, ndizo Gharama za ndoa

Ukibaki na MISIMAMO YAKO jua shida hazipo mbali na wewe ( ki ndoa )
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom