Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
wanavaa miguuni. lakini siku hizi kuna hadi vibata
Hee vibata tena sasa siwatavaa vimbuzi ?
wanavaa miguuni. lakini siku hizi kuna hadi vibata
Nitaacha vyote vikuku siachi.
khaa, achana na vikuku dadaangu.Nitaacha vyote vikuku siachi.
Tutoane ushamba!kikuku ndo stail gani?
Ni wakati wakujistiri vizuri ukishaolewa, uvae nguo ndefu kupita magoti yako, usiache maeneo tamanishi ya mwili wako yakiwa wazi,
NB: jua kuwa wewe ni mke wa mtu,
1. Jitunze
2. Jithamini
3. Jiheshimu nawe utaheshimika...
Acha vile vi-top vyako vya kitovuni,vimini, vim'pasuo vya mapajani,vi-blouse vinavyoonyesha maziwa,vim'bato vyako vinavyo-onyesha mpaka uvimbe wa uchi wako nk.Inshort vaa ngua zinazositiri mwili wako.Hatimaye mvae Yesu.
Juzi tulikuwa sehemu na mada hii ikaibuka! Vipi mwanamke aliyeolewa avae vipi? Huyu dada aliyepekea hoja ianze ni mnene asiye na upungufu wa nyama mwilini! Bantu haswa! Lakini kavaa 'skini taiti', kishati kidogo kiloacha sehemu ya kifua chake kikubwa nje. Mguuni kipo kikuku! Mkononi ana pete ya ndoa ilobebana na ya engagement kuonesha ni mke wa mtu! Mke wa mtu, utokeje?
Nakubaliana na wewe, Mwanandoa anapaswa kuvaa vile mumewe anavyotaka. Pia akumbuke kujiheshimu na kuwaheshimu wengine pia ili kuondoa unnecessary misunderstanding.
Sikubaliani na wewe; mwanamke akiolewa siyo kwamba anaacha kuwa binadamu kamili mwenye utashi na mapendezi yake mwenyewe! Mkitaka wa hivyo tengenezeni marobot mnayo yaprogram kufanya yale mnayo yataka. Na sorry to tell you some truth, you will end up a very unhappy man if u expect a woman to do kile tu unachomtaka afanye, coz she will definetely disappoint you!
About the topic; vaa what you feel is appropreate to you, angalia hali ya hewa kwa maana ya material ya nguo unayovaa, angalia purpose (kama mwanzo ulivaa kwa ajili ya kumattract mwanaume, you dont need to coz the purpose has been fulfilled alread), angalia wapi unaenda (kama ni kanisani, msikitini, msibani, club, picnic, hunting, jogging etc) na social expectation.
Women should always be attractive...that's nature..Dress Sexy and maintain decency... uusikomae kuvaa nguo za binti yako kana kwamba ni zako...