Niulizeni kuhusu mkoa wa Pwani

Niulizeni kuhusu mkoa wa Pwani

Mkuu,kadiri nijuavyo,hakuna visiwa vingine ndani ya kisiwa cha Mafia.Kisiwa cha Mafia kinaunda wilaya mojawapo ya wilaya sita za Mkoa wa Pwani.Mafia pia ni Jimbo la Uchaguzi ambalo lina kata saba: Baleni,Jibondo,Kanga,Kilindoni,Kirongwe,Kiegeani na Mibulani. Si kweli kuwa kuna maeneo wanawake wanakatazwa kutembea katika Kisiwa/Wilaya ya Mafia. Idadi ya wakazi wa Mafia ni zaidi elfu sabini.

Bila Shaka Hukijui kisiwa cha Mafia,
Ndani ama pembezoni ya kisiwa cha Mafia Kuna visiwa kadhaa vinavyojumuishwa ktk wilaya ya Mafia,
Kuna
1.Jibondo
2.Juani
3.Chole
4.Bwejuu
5.Mbarakuni
Nb.Kama swali hulijui usahihi wake haina haja ya kulijibu kwa maana unapotosha ukweli.
 
Mbegu za mihogo mitamu kwa hapo kibaha (maili moja, picha ya ndege kwa matias etc) zinapatikanaje na kwa bei gani?
 
mkuu hii tafiti ya kuangalia kinyanya tu, kwa maana ya magogo matatu, na wauza mapande ndio unaitolea ushuhuda. we umesoma kibiti ya mwaka gani bhana.
Tafiti sijafanya mimi......mimi nimechangia tu............Mwaka 1981 tukapelekwa Tunduru secondary school.....tukakutana na sehemu inaitwa Masonya kilimo kwa kwenda mbele.......shule za kilimo bhana...............

Mimi nimesoma kibti V na VI.. 2007/2009

syo rufiji tu ukweli ni kuwa tabia za watu wa mkoa huu zinafanana sana ndo mana upo 10 bora HIV
Dar es salaam ni ya Pili baada ya Mbeya.......wao nao wanafanana Kitabia..............???? acha kukurupuka...................

mkuu hii tafiti ya kuangalia kinyanya tu, kwa maana ya magogo matatu, na wauza mapande ndio unaitolea ushuhuda. we umesoma kibiti ya mwaka gani bhana.
kama QUOTE=mdau kbt;10369751
 
Kwanini wakazi wamkoa wenu wanapenda kulazimisha wageni waliojenga maeneo yao waishi kwakufata tabia zao kualika kwenye mashughuli michango nk
 
Mkuu,kadiri nijuavyo,hakuna visiwa vingine ndani ya kisiwa cha Mafia.Kisiwa cha Mafia kinaunda wilaya mojawapo ya wilaya sita za Mkoa wa Pwani.Mafia pia ni Jimbo la Uchaguzi ambalo lina kata saba: Baleni,Jibondo,Kanga,Kilindoni,Kirongwe,Kiegeani na Mibulani. Si kweli kuwa kuna maeneo wanawake wanakatazwa kutembea katika Kisiwa/Wilaya ya Mafia. Idadi ya wakazi wa Mafia ni zaidi elfu sabini.

Vipo visiwa vidogo vya Chole na Bwejuu katika Wilaya ya Mafia
 
Nasikia Mkoa wa owani ni miongoni mwa mikoa kama sio pekee, isiyo na manspaa hata moja..
Sababu ni nini mkuu..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom