sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Sioni hata dalili ya Mchange hata kupata wasikilizaji. Hatahivyo,bado simuoni Mgombea mwenye nguvu wa CHADEMA ingawa CCM imechokwa na wananchi wanajiandaa kuikataa.
Huyu Dogo alimhenyesha sana Mh. Koka 2010. Nadhani kama asingesaliti kambi, 2015 angeweza chukua ubunge.