Niulizeni kuhusu mkoa wa Pwani

Niulizeni kuhusu mkoa wa Pwani

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,143
Nitafarijika kujibu maswali yenu. Nitawaeleza kuhusu Kibaha, Bagamoyo,Kisarawe,Mkuranga,Rufiji na Mafia

Karibuni kwa maswali
 
Ha ha haaa! Niulize style imebamba sana jukwaa hili.
 
Nitafarijika kujibu maswali yenu. Nitawaeleza kuhusu Kibaha, Bagamoyo,Kisarawe,Mkura
nga,Rufiji na Mafia

Karibuni

Ngoma za usiku hasa mdundiko zimechangia kwa kiasi kikubwa tabia hatarishi ikiwemo uasherati kwa umri mdogo.. Hii nina ushahid nalo nilipokuwa nasoma kibiti high school. Rufiji... Kiukweli ukiacha DSM sijapata ona wilaya inayoongoza kwa sherehe.. Muziki na ngoma za kienyej kama Rufiji vinavyoambatana na uasherati ktk umri mdogo na maambukiz ya kas ya HIV...
JE.. MKOA WENU UNACHUKUA HATUA ZIPI KUDHIBITI HALI HII... MANA HT KITAKWIMU MKOA WA PWANI NI MIONGONI MWA MIKOA AMBYO UKIMWI UNAENEA KWA KASI....
 
kwanini wakazi wengi wa pwani wanapenda ngoma kuliko kusoma?
 
Kwani wakazi zaidi ya asilimia hamsini wanalima mazao ambayo hayahitaji huduma kama palizi za mara kwa mara ?
Kwanini wakazi wengi wa Pwani wana mboyoyo= maneno mengi ?
 
Kwa nini wakazi wa Pwani wanapenda na kuendekeza ngono zembe na kuwa idadi kubwa ya waathirika wa magonjwa ya zinaa na UKIMWI?
 
Kwanini wachaga na wakinga wamewaamisha mjini Kariakoo na bado wanawafuata na kuwaamisha huko bagamoyo, Mkuranga, Masaki, Mwaneromango, Soga, Rufiji, Chamazi n.k. Hamuoni kwamba mtakosa sehemu kabisa za kuishi?
 
Nikweli Habib Mchange aliuza jimbo la Kibaha 2010?Unapafahamu home kwao/kwake?
 
kwanini madem wengi wa kibaha wanapenda kuliwa 0712 hasa ile din ya kikofia
 
Ngoma za usiku hasa mdundiko zimechangia kwa kiasi kikubwa tabia hatarishi ikiwemo uasherati kwa umri mdogo.. Hii nina ushahid nalo nilipokuwa nasoma kibiti high school. Rufiji... Kiukweli ukiacha DSM sijapata ona wilaya inayoongoza kwa sherehe.. Muziki na ngoma za kienyej kama Rufiji vinavyoambatana na uasherati ktk umri mdogo na maambukiz ya kas ya HIV...
JE.. MKOA WENU UNACHUKUA HATUA ZIPI KUDHIBITI HALI HII... MANA HT KITAKWIMU MKOA WA PWANI NI MIONGONI MWA MIKOA AMBYO UKIMWI UNAENEA KWA KASI....

Kuna wakati watu wa Kisarawe walipinga kwamba wakitaka kwenda makao makuu ya mkoa wao.kule Kibaha lazima wapite Dar es Salaam na kwamba hilo lina wakera sana kwamba njia ya Kazimzumbwi- Kiluvya ipo ambayo ni mkoa wa pwani tupu hivyo walilalamika kwa nini isiwekwe lami je hilo limefikia wapi?

Watu wengine walisema wangependa makao makuu ya Kisarawe yahamie Mwaneromango kwa kuwa mji wa Kisarawe uko jirani na Ilala je limefikia wapi hilo?

Kuna wengine wakalalama.kuwa Maili Moja Kibaha imedumaa kimiundo mbinu kuliko Bagamoyo je unahisi hiyo ni kweli? Kama ni kweli kwa nini?

Mkuranga ni wilaya mpya iliyomegwa kutoka Kisarawe lakini pamoja na upya wake unaipita kimaendeleo Kisarawe, vp umeshawahi kujiuliza ni kwa nini?

Lipi ni zao kuu la chakula na zao kuu la biashara mkoa wa Pwani?

Wilaya ya Rufuji ni kubwa sana kuliko yoyote mkoa wa Pwani na hata idadi ya watu ni kubwa je kimaendeleo inaweza kuizidi Bagamoyo?

Je ni kweli kuwa vigodoro asili yake ni mkoa wa Pwani?


Mwisho: Kwa nini mkoa huu unaitwa mkoa wa Pwani? Kijografia ni mkoa upi uko na eneo kubwa la Bahari ya Hindi kati ya Pwani, Lindi, Tanga Dar es Salaam na Mtwara?
 
hongereni kwa kutoa Rais toka mkoa wenu...nitajie makabila yanayopatikana mkoani kwako?
 
Hivi yale maeneo ya Vikindu, Vihanze na Malogolo mtayapima lini maana eneo kama Malogolo ilisemekana Manispaa ya Temeke ni la kwake
 
Back
Top Bottom