wiseman mic
Member
- May 19, 2014
- 17
- 4
Mwanafunzi niulize swali lolote la historia au Kiswahili, au ukipenda tumia namba zangu 0758018597
1; Kwa kurejelea historia ya biashara ya utumwa na ukoloni africa, naomba unipe historia ya asili na chanzo cha hawa marastafarian
2; naomba uniambie, ni vita gani iliyowahi kupiganwa kwa muda mfupi kuliko zote? Ilichukua muda gani kuisha? Ilisababishwa na nini?
Mwanafunzi niulize swali lolote la historia au Kiswahili, au ukipenda tumia namba zangu 0758018597
Iliitwaje? Na sababu zake zilikuwa ni zipi?Samahani kwa kudandia
naomba kujibu swali la pili
Kumbukumbu zangu znaniambia vita fupi ilikuwa inaitwa Alhamis iliyopiganwa ndani ya dakika 45 kisiwani Unguja
Ha ha haAkianza kajibu mnitag