Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,623
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.
Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.
Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Ameolewa na mganga wa kienyeji GeitaMiss chagga yuko wapi?
Ameolewa na mganga wa kienyeji GeitaMiss chagga yuko wapi?
Jambo la kwanza la muhimu unalopaswa kujiuliza ni kwamba huyo mwanamke uliyekuwa nae umeridhika kuwa, anakuelewa anaamini hata kidogo unachompatia?Hivi mwanamke anataka nini?
Tumejaribu pesa, kuwazalisha,mapenzi lkn bado hawana raha. Wanataka nini hawa wadudu ?
Ungeedit kidogo hiyo comment yako ukaweka neno hata hawa warembo?? Inawezekana umekuwa ukitumia maneno kama haya, ukitumia maneno kama haya hata kama unawapa bilion utawaona watu wa ajabu. Kwa sababu yanaonyesha kutomheshimuHivi mwanamke anataka nini?
Tumejaribu pesa, kuwazalisha,mapenzi lkn bado hawana raha. Wanataka nini hawa wadudu ?
Hah kwamba hatuwajui mlivo?Ungejua tunavowajua patterns zenu ungezimiaNaona walokole wanaulizana kuhusu msikiti
Yuko Moshi amekwenda kula XmassMiss chagga yuko wapi?
Yuko Moshi amekwenda kula Xmass
Hivi mwanamke anataka nini?
Tumejaribu pesa, kuwazalisha,mapenzi lkn bado hawana raha. Wanataka nini hawa wadudu ?
Hamna loloteHah kwamba hatuwajui mlivo?Ungejua tunavowajua patterns zenu ungezimia
Hah thubutu! kwani umewahi kujiona mpaka hukoooo ndani kabisa?Hamna lolote
Wewe umewahi kuniona?Hah thubutu! kwani umewahi kujiona mpaka hukoooo ndani kabisa?
Nimeona Kwa KE mwenzako so usiseme sie walokole(ME) tunauliza mambo ya msikitini(KE)Tunawajua sn tu kuliko hata mnavojijuaWewe umewahi kuniona?
Huna lolote bwana nipishe nikanywe chai mimiNimeona Kwa KE mwenzako so usiseme sie walokole(ME) tunauliza mambo ya msikitini(KE)Tunawajua sn tu kuliko hata mnavojijua
Hahahahaa nimekuzidi hoja bidada.Tena muda ule tunaenda uvinza ndo tunawaelewa kila kitu.Kimsingi Tunawajua balaaHuna lolote bwana nipishe nikanywe chai mimi
Mm nilikuwa nae aliye keketwa alikuwa anafika kileleni na pia alipenda sana dushe karibia kila cku akiutakaNina maswali mawili
1;mwanamke akikeketwa huwa hafiki kileleni?
2;ni kila bawda ya muda gani mwanamke anapata hamu ya juu ya kugegedwa?
Hakika!!Hawajui wanachokitaka/wanataka wasichokijua