Niulize chochote

Niulize chochote

Kwenu hayo ndio ya maana??kweli wewe umo kwenye ile 60% ya necta, vipi ulishajisajili kureseat??aau umeamua kwenda ufundi magari pale kwenye gereji ya mchina?

kureseat utafanya wewe, mi nita re-sit
 
kureseat utafanya wewe, mi nita re-sit

Vyovyote vile, ila vizuri umenielewa nilikuwa namaanisha nini.....safari hii usimchore zombie messi kwenye mtihani eehh, ukiona huna cha kuandika ni heri hata umchore baba wa taifa
 
Nakadori,umeamua kuja kufanya uchafuzi hapa?

Umeona aina ya maswali ninayoulizwa? wauliza maswali ni kama wamekunywa komoni, sasa unafikiri majibu ya maswali yao yatafananaje? Free Thinker kabla hujaniuliza kitu ingekuwa vizuri upitie maswali yao yote uone kama sijajibu kwa ufasaha
 
Last edited by a moderator:
Acha hizo mkuu! Kwani we ni she-he? avatar yako inakusaliti....

Ni he, avatar sio swala la kukuogopesha, kama una nia wewe sema tu nikuweke ndani, uwezo wa kukuhudumia kwa kila kitu ninao
 
Basi, hadi hapa naonaa maswali yenu yameisha, kama lipo la zaidi mtanijulisha..natoka kwa muda eehh
 
Unasema hivi; kila mwanume hata aliyeoa anasema yuko single, wadada wa JF wote hata walio na age 30's ukiwauliza watakuambia ni 20's (rudia huu ubeti)

Hahahaaaa
Na wewe una umri gani
 
Cjelewa. Kwa mila zenu ukigeuza kitu ndo unapata hela? Yani ukigeuza..?? Unapata hela. Ebu tena mkuu...uki..? Nini..!
 
Back
Top Bottom