one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,216
- 1,795
Uyo koboko wenu akikutana na ANACONDA HATOBOI. MWENYEWE ANASANDA.Sijazungumzia ukubwa jombaaa, nimezungumzia hatari ya nyoka huyo koboko ni hatar kuliko Anaconda
Uyo koboko wenu akikutana na ANACONDA HATOBOI. MWENYEWE ANASANDA.Sijazungumzia ukubwa jombaaa, nimezungumzia hatari ya nyoka huyo koboko ni hatar kuliko Anaconda
Kuna kajamaa kanaitwa Nyegere huwa kanawageuza Koboko mishikakiUyo koboko wenu akikutana na ANACONDA HATOBOI. MWENYEWE ANASANDA.
mkuu, hizo mboga umenikumbusha home kabisa... Hivi Ntini bado zipo? Wale wadudu ni watamu balaaWilaya ya Sikonge kwa muda mrefu haikuwa na barabara ya kukatisha kuingia na kutoka kwenye mikoa mingine - kifupi Wilaya ilikuwa kama kisiwa hivi. Kwa sasa ndiyo kuna barabara inajengwa toka Tabora mjini kupitia Sikonge hadi Katavi.
Barabara hii sasa ndiyo itahuisha biashara kati ya wilaya ya Sikonge na Katavi hadi Kigoma.
Ardhi ipo ya kumwaga, lakini kilimo chochote kinahitaji Mbolea, Mzunguko wa pesa hakuna - maisha ni magumu mno hasa wa vijana na kina mama.
Chakula kikuu ni Ugali wa Mahindi - Mboga ni Mlenda, Swalu, nsansa, kisanvu ma msusa - Mboga zote hizi zikiungwa kwa tui la karanga!! Uhodari wa wanawake wa Kinyawezi ni ile sifa yao katika mapishi - ni hatari.
Ntonga, mpundu, matopetope, ndati, mfulu, mbuguswa, matunda kamasi,Kupanga bado ipo ila Lukula haipo kabisa kulikuwa pia na mapera mengi sana mfulu nsada nsalansi nsungu matoo mantonga haya yote ni matunda ya porini
Jombaa unafahamu lkn structure ya gari ilivyo from Bonet to interior?Gari anaikimbiza anaingia kwenye bonet ya gari anatokeza kwenye siti anawagonga wote
I
bila shaka humjui koboko wewe, usimfananishe koboko na huyo nyoka wako uliye mjua kwenye ma'tvUsimfananishe ANACONDA, the world biggest snake na vitu vya kijinga.
Ni mkongwe kwa sababu ya uwepo wa Mission ya Moravian lakini ulikuwa isolated kwa kukosa muunganiko na makao makuu.
Miji mingi ilikuwa inakua kwa kusuasua sana wayaback lakini kuanzia 2005 to 2015 kulikuwa na ukuaji wa haraka sana wa urban na peri urban areas.
Sasa Sikonge haina kivutio chochote kwa watu zaidi ya kilimo ambayo haiwezi kuwa ideal place kwa sababu ya ubovu wa miundombinu na huduma za jamii
Si useme tu mchwa kwanini unatumia lugha ambazo hazieleweki ?mkuu, hizo mboga umenikumbusha home kabisa... Hivi Ntini bado zipo? Wale wadudu ni watamu balaa
TABORA HOME SWEET HOME
Yeah hope wilaya itafungukaKwa sasa hivi miundo mbinu iko vizuri
Vyumba vingapi mkuu?Laki moja mpaka 2.5
Aaah weee usitudanganye..nina mtoto huko tutuo na hao waarabu wenu, sikonge nina jamaa yangu huko kwao mambo aliyonieleza ya huko hapa wala usiwatetee mkuu.
Mchwa ni mchwa tu mkuu,Hayo ni majina ya kienyeji na siyo mchwa wa kawaida ni wale wenye vichwa vikubwa
Sawa mkuu, ni mitaa ipi mizuri zaidi kupanga nyumba, yani ambako sio uswahilini sana?Vyumba 3
Wilaya ya Sikonge kwa muda mrefu haikuwa na barabara ya kukatisha kuingia na kutoka kwenye mikoa mingine - kifupi Wilaya ilikuwa kama kisiwa hivi. Kwa sasa ndiyo kuna barabara inajengwa toka Tabora mjini kupitia Sikonge hadi Katavi.
Barabara hii sasa ndiyo itahuisha biashara kati ya wilaya ya Sikonge na Katavi hadi Kigoma.
Ardhi ipo ya kumwaga, lakini kilimo chochote kinahitaji Mbolea, Mzunguko wa pesa hakuna - maisha ni magumu mno hasa wa vijana na kina mama.
Chakula kikuu ni Ugali wa Mahindi - Mboga ni Mlenda, Swalu, nsansa, kisanvu ma msusa - Mboga zote hizi zikiungwa kwa tui la karanga!! Uhodari wa wanawake wa Kinyawezi ni ile sifa yao katika mapishi - ni hatari.
150000 kushuka chiniNaomba kufahamu gharama zankupanga nyumba hapo sikonge. Nyumba standard iliyoko ndani ya geti