Isengelo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 476
- 746
Kipindi cha Awamu ya Tano cha hayati Magufuli fedha za mradi wa maji ya victoria Tabora zilizobaki, zilikuwa zipeleke maji wilaya tajwa tanguy 2020. Kitu cha kushangaza leo katika ziara ya Mh Samia Aweso anazitumia Iramba.
Swali langu: Je, ni lini wananchi wa urambo, kaliua na sikonge tutapata maji ya Victoria wakati fedha zetu zimepelekwa Iramba?
Swali langu: Je, ni lini wananchi wa urambo, kaliua na sikonge tutapata maji ya Victoria wakati fedha zetu zimepelekwa Iramba?