Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,173
- 1,092
- Thread starter
- #221
Wahangaza ndiyo kabila gani waliokuwa wanafanyakazi kwenye mashamba ya Tumbaku toka zao hilo linangia mkoa wa Tabora miaka ya 70 walikuwa Waha na wanyaturu sasa wewe umeka miezi 3 huwezi kujua
Wengi wanaofanya kazi ni Waha, Wahangaza na Wasukuma na wanawake wa kinyamwezi lakini wanaume ni kupendeza wavivu sana