SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,639
- 10,241
Vyumba vingapi?150000 kushuka chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyumba vingapi?150000 kushuka chini
Kwahiyo ukishavuna asali ndipo unapanda tumbaku!?, Ukishavuna tumbaku ndipo unaotesha asali!?Hizo ni propaganda maana msimu wa asali na tumbaku ni tofauti pia asali hupatikana katika misitu minene
Majebele alikuwa mtemi wa utemi wa Mwagala wilaya ya Maswa sasa mkoa wa Simiyu alikuwa maarufu sana huko usukumani alikuwa mwenyekiti wa watemi wote eneo la usukumaniMajebele ni jina la kisukuma na si mnyamwezi na sijui kama kama alikuwa mtemi
mkuu unaonaje tukaweke kambi hata 3daysNasikia warabu koko ni wengi sana huko.
#MaendeleoHayanaChama
Nyuki husafiri umbali gani kutafuta polen⁉️⁉️Asali haioteshwi asali inarinwa maeneo tofauti na inakolimwa Tumbaku
Hapo nakupinga sio wilaya kongwe imendishwa hadhi ya wilaya Kama sikosei miaka ya 1998Sikonge ni wilaya kongwe na masikini kupindukia
Nimesoma mbirani hapoNi kweli ilikuwa ni tarafa tu
Mkuu mbiran ulipita mwaka gani??Nimesoma mbirani hapo
Mlete huku mwanambuya mkuu huku chiniSehemu nzuri kwa sasa ni eneo la madukani
Mi muhenga mkuu hapo nimemaliza95Mkuu mbiran ulipita mwaka gani??
Duh kweli kitambo mkuuMi muhenga mkuu hapo nimemaliza95
We umesomea hapoDuh kweli kitambo mkuu
Nilimaliziq pale drs la sabaWe umesomea hapo