RPC Tabora, mchunguze askari george Thomas Chuwa wa Sikonge. Hana maadili

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,804
8,797
Mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kuhusu suala la uwajibikaji katika Jeshi la Polisi. Kumekuwepo pia na visa na mikasa mingi ya uaminifu kati ya raia na Jeshi la Polisi.

Serikali ya Mama Samia ikaja na tume ya Haki Jinai ili kuangali jinsi ya upatikanaji wa haki, jeshi la polisi limeongoza kwa kutiliwa mashaka katika utendaji wake.

Sehemu za Vijini kumekuwepo na uonevu mkubwa. Wilaya Sikonge kuna huyu Askari anaitwa Chuwa, amekuwa na mienendo sio rafiki na amekuwa na tabia ya kubambikia watu kesi ili mradi aweze kupewa chochote, na amekuwa na tabia ya usumbufu sana. Ingelikuwa jambo la maana endapo RPC ama Takukuru mkoa wa Tabora kuja kujionea tabia za huyu Askari sijui kaja kuumiza raia aka kaja kufanyakazi kwa kufuata maadili na miiko ya kazi yake. Kitu ambacho hana maadili ya kazi. Wito kwa RPC huyu Chuwa tunaomba atolewe ama akumbushwe maadili yake ya kazi. Kafikia hatua sio njema maana analeta uchonganishi kati ya Raia na serikali.
 
Mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kuhusu suala la uwajibikaji katika jeahi la Polisi. Kumekuwepo pia na visa na mikasa mingi ya uaminifu kati ya raia na jeshi la polisi.
Serikali ya Mama Samia ikaja na tume ya haki jinai ili kuangali jinsi ya upatikanaji wa haki, jeshi la polisi limeongoza kwa kutiliwa mashaka katika utendaji wake.

Sehemu za Vijini kumekuwepo na uonevu mkubwa. Wilaya Sikonge kuna huyu Askari anaitwa Chuwa, amekuwa na mienendo sio rafiki na amekuwa na tabia ya kubambikia watu kesi ili mradi aweze kupewa chochote, na amekuwa na tabia ya usumbufu sana. Ingelikuwa jambo la maana endapo RPC ama Takukuru mkoa wa Tabora kuja kujionea tabia za huyu Askari sijui kaja kuumiza raia aka kaja kufanyakazi kwa kufuata maadili na miiko ya kazi yake. Kitu ambacho hana maadili ya kazi. Wito kwa RPC huyu Chuwa tunaomba atolewe ama akumbushwe maadili yake ya kazi. Kafikia hatua sio njema maana analeta uchonganishi kati ya Raia na serikali.
FFU
 
Dah! Umenikumbusha ule wimbo wa Rafael ulioimbwa kwa lafudhi ya Kichaga! Kati ya watu yule mwimbaji aliwataja, na Chuwa naye alikuwepo!!
 
Mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kuhusu suala la uwajibikaji katika jeahi la Polisi. Kumekuwepo pia na visa na mikasa mingi ya uaminifu kati ya raia na jeshi la polisi.
Serikali ya Mama Samia ikaja na tume ya haki jinai ili kuangali jinsi ya upatikanaji wa haki, jeshi la polisi limeongoza kwa kutiliwa mashaka katika utendaji wake.

Sehemu za Vijini kumekuwepo na uonevu mkubwa. Wilaya Sikonge kuna huyu Askari anaitwa Chuwa, amekuwa na mienendo sio rafiki na amekuwa na tabia ya kubambikia watu kesi ili mradi aweze kupewa chochote, na amekuwa na tabia ya usumbufu sana. Ingelikuwa jambo la maana endapo RPC ama Takukuru mkoa wa Tabora kuja kujionea tabia za huyu Askari sijui kaja kuumiza raia aka kaja kufanyakazi kwa kufuata maadili na miiko ya kazi yake. Kitu ambacho hana maadili ya kazi. Wito kwa RPC huyu Chuwa tunaomba atolewe ama akumbushwe maadili yake ya kazi. Kafikia hatua sio njema maana analeta uchonganishi kati ya Raia na serikali.
Mada ni nzuri lakini mkuu umejiuma uma kisha ukafunga ukurasa bila ya kutueleza "madhambi" halisi ya huyo askari.

Tuhuma ukiibua juu juu tu bila kuweka vielelezo vyenye mshiko na namna kazi za Polisi zilivyo na lawama, waweza onekana ni mpika majungu tu labda kutokana na kuhitilafiana naye kimaslahi, kisha ukaamua kuja humu kumsagia kunguni.

Weka evidence madhubuti ili hata wahusika washituke na kuanza kuangazia "kurunzi" zao huko.

Hata hivyo uongozi gani uliopo mkoa wa Tabora kuweza kuchukua hatua ya uozo kama huo?

Ulishamsikia hata siku moja Rc wa Tabora akisimama na kukaripia uhalifu wowote mkoana mwake kama walivyokuwa watangulizi wake kina Mwanri?

Hapo unapeleka kesi ya nyani ya kula mahindi kwa ngedere.

Mkoa wa Tabora umekuwa na "ombwe" la uongozi tangia Mwanri astaafishwe.

Na ni miaka mingi sana Tabora huwa haipewi viongozi wa mkoa wazuri.

Kuna mauozo mengi sana Tabora kuanzia halmashauri ya Manispaa, lakini Rc yupo kama hayupo na kama yupo ni kwa maslahi yake binafsi lakini si kwa maslahi ya raia.
 
Mripotini kwenye kamati ya maadili kwa shuhuda....

Bila shuhuda unakuwa unapiga kelele hakuna atayekusikia.

Au wengine watasema kisa ni mkibosho mwenzangu basi wamsemea ukabila, cha msingi mripotini kamati ya maadili ya ulinzi, hakuna kitu kinaumiza kama kubambikia watu kesi na kuonea raia kisa una madaraka isitoshe ni sehemu kama hizo za vijijini huko sikonge.
 
Mada ni nzuri lakini mkuu umejiuma uma kisha ukafunga ukurasa bila ya kutueleza "madhambi" halisi ya huyo askari.

Tuhuma ukiibua juu juu tu bila kuweka vielelezo vyenye mshiko na namna kazi za Polisi zilivyo na lawama, waweza onekana ni mpika majungu tu labda kutokana na kuhitilafiana naye kimaslahi, kisha ukaamua kuja humu kumsagia kunguni.

Weka evidence madhubuti ili hata wahusika washituke na kuanza kuangazia "kurunzi" zao huko.

Hata hivyo uongozi gani uliopo mkoa wa Tabora kuweza kuchukua hatua ya uozo kama huo?

Ulishamsikia hata siku moja Rc wa Tabora akisimama na kukaripia uhalifu wowote mkoana mwake kama walivyokuwa watangulizi wake kina Mwanri?

Hapo unapeleka kesi ya nyani ya kula mahindi kwa ngedere.

Mkoa wa Tabora umekuwa na "ombwe" la uongozi tangia Mwanri astaafishwe.

Na ni miaka mingi sana Tabora huwa haipewi viongozi wa mkoa wazuri.

Kuna mauozo mengi sana Tabora kuanzia halmashauri ya Manispaa, lakini Rc yupo kama hayupo na kama yupo ni kwa maslahi yake binafsi lakini si kwa maslahi ya raia.
Kuna ushahidi wote acha kwanza tuone Abwao RPC atafanyaje. Huyu Chuwa hafai.
 
Back
Top Bottom