Mkuu unavyoshupaa utadhani unajua kitu kumbe hola kabisa!! Who is Tony Madola?!! Sisi tunamfahamu Tony Mutola!! Huyo Madola sijui umemtoa wapi! You are less informed aisee!!
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....
Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza
Kama kweli upo sahihi Michael wangemuuwa tokea miaka ya 80 maana enzi hizo ndo alikuwa kwenye peak..
Michael alikufa kutokana na overdose na daktari alishtumiwa kwa Manslaughter..
Ikumbukwe kila star akifa mnahusanisha na hayo mambo yenu yasiyokuwa na mbele wala nyuma, angekufa mudy wa mbagala msingesema
Ila mastaa kama Michael, elvis presley , John lenon vifo vyao vinatengenezewa habari ili watu wapate pesa...., tujaribuni kushughulisha na akili zetu jamani si kila information uamini tuuu ilimradi umeskia mzungu kasema
Wewe Wa Enzi Za Rich Mavoko Kama Hujui Kitu Bora Ukae Kimya
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....
Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza
Una mahaba yakutosha sana na MJ
Wako
Ok wewe ulioko high informed tuambia nin kilicho mwua MJ
Usilete tu propaganda bila facts ili na wew ionekane wa kisasa..
Nyimbo ya Thanks to allah aliitoa ni kweli, kuhusu kuslim kwake limekuwa suala la kificho sana kiasi kwamba ni ngumu kuthibitisha maana hata utaratibu uliotumika cku ya kumzika ulikuwa wa tofauti, kama kweli Michael alislimu maziko yake yangekuwa tofauti na tuliyoyashuhudia,..
Kiimani Michael Jackson amelelewa dhehebu la mashahidi wa yehova, japokuwa kuna kipindi walimtenga(1988) kutokana na mambo yake kuwa tofauti na dhehebu hilo
Na kwakweli wew ni mjinga halafu unajifanya mwerevu
Umezoea kulishwa propaganda na cnn..
Kwa hiyo nani kakuambia aliuwawa kwa kuwa alikuwa kwenye piki .aliuwawa kwa kuwa alikuwa anaenda kinyume na WALIO MPAA huo umarufu na kumfikisha hapo alikokuwa sawa kijana..
Mkuu eli nino imesema tukuulize chochote kuhusu michael J. Mimi nimekuuliza wale watoto wake watatu wazungu kabisa ni wa michael halisi? Hujanijibu. Maana michael kwa asili ni mwafrika na kabla ya plastic surgery alikuwa mwafrika maphologically. Sasa watoto nilitegenea wawe 0.5.!!! nijibu tafadhali.
Unatoka kipovu cha mdomo wakati suali hukuulizwa wewe!
Kiukweli no body anaweza kuthibitisha MJ was a secret group member.though watu wanaweza kuunganisha mambo and come out wth that idea.mfano some people wamehusisha album cover zake na hii kitu,eg(blood on the dance floor 1997-na ishu ya sep 11 2001) pia cover ya album dangerous 1991 na hii ktu ya secret societies
nakubali mimi ni mjinga ila nakushauri usipende sana kuamini mambo ya conspiracy....watu wanahusanisha vitu tu na wewe unaamini kama kama bogus...yafaa uache hii
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....
Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza
Kwa uzoefu wangu wa kuishi nchi za magharibi kwa muda mrefu, ingawa kweli kuna ubaguzi wa hapa na pale lakini kumwambia mtu huko kuwa ni mbaguzi ni tusi kubwa sana.