Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Nachukizwa sana na kitendo cha kufungiwa na JF kunifungia kwa muda kupost new topic. Naona kama serikali ya Chi Chi emu isivyo na huruma na wanachi wake. Siku mkinifungia tena. Nitawakimbia wana JF. Kama kuna uwezokano, mniambie wapi nikakate rufaa wapi.