General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,116
- 2,285
Wakubwa zangu poleni na uchovu.
Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.
Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.
Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.
Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.
Naombeni Msaada mwenzenu.
Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.
Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.
Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.
Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.
Naombeni Msaada mwenzenu.