Nitatoa zawadi ya 200,000

Kuna mtu alinitimia elfu 43 voda, akanipigia simu kunijuza nami nikamrudishia pesa zote aisee huyo mtu hadi leo amekuwa rafiki yangu, tunachat na kusalimiana kama ndugu. Pesa kwa wengine huonekana maana haramu hadi kutokomea kusikojulikana..pole sana
 
Vijana wa daslamu wanapenda sana maisha ya mteremko.....

Wanapenda sana ganda la ndizi au mteremko.....ndio hao wanaopaka mpaka lipstick [emoji168] midomoni na kutwa wanashinda vijiweni......

Naamini kabisa hiyo hela ingemfikia mtu muhangaikaji kama wewe nina hakika angekurudishia......tena bila hata ya kumuuliza......

Mtoto wa kiume unakulaje hela ya mwanaume mwenzio kulaini laini tu.....watoto dizaini hiyo ndio wanaovunjiwa mayai huko nyuma.......

Muone midomo yake anaonekana hata kunyanyua chupa ya soda hawezi atawezaje kubeba zege kujipatia ridhiki yake....!!!??

Ndugu nenda kwa watu wa mtandao...waambie wakupe namba zake tatu alizokuwa anazipigia mara kwa mara hakika utampata tena haiishi hata week......

Chakufanya ukishapata hizo namba kwanza zijaribu kama ni za wanaume basi mtafute binti mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni......ajifanye kama amekosea namba.....nina hakika hata week haiishi....mtakuwa mmeshamtia mikononi huyo bwana mdogo......kila la kheri ndugu....

Usikatishwe taamaa na makelele ya watoto wa mama humu wanaoshangilia huo upuuzi......
 
mh! hela toka benk kwenda kampuni za simu haioneshi jina. Ingekuwa simu kwenda simu, kweli.
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
HEEE Maajabu!
 
Kaka niliwahi nami kupoteza hela kwa njia hii hii nilimtumia hela mtu nikawa nimekosea digit moja then aliyetaka hiyo hela akaniambia hakupata nikatuma tena then badae kuja kucross check nikakuta badala ya kuandika 21 nikaandika 51 akazima cmu hadi leo ila nachoamini nae atakuja fanyiwa kama mimi nilivyofanyiwa.Kimsingi alipost hii thread hajafanya sawa anatakiwa afuate taratibu zilizopo na atampata mhusika bila tabu
 
Acha upuuzi,hiyo ni fursa!Usimdhalilishe mtu kwa uzembe wako!Unajua shida zake?Mbuzi kafia kwa muuza supu!
 
Mkuu Ushimen nimemcheki kijana Facebook yake naona yupo tu anatamba ila Instagram ndio kaweka Private!

Nahisi kumpata ni rahisi ila kuipata hela ndio inaweza kuwa ngumu!

Halafu dogo anafanana na Bashite nahisi wana undugu!
Umenifanya nicheke kwa sauti
 
Huu ni wizi kwani kajulishwa kuwa imekosewa na kuahidiwa ajimegee za usumbufu, lakini kaona apotee nazo zote. TUSIMTETEE, HUU NI WIZI.
huyo si mwizi uyo kakosa uhungwana alafu yawezekana alikuwa nashida mungu huwa anamakusudi
 
Reactions: y-n
Huyo huyo akipatikana atasaidia kumpata muhusika huwezi kuomba kisajili line na kitambulisho cha mtu wa mbali lazima atakuwa ndugu jamaa au Rafiki
 
Huyo huyo akipatikana atasaidia kumpata muhusika huwezi kuomba kisajili line na kitambulisho cha mtu wa mbali lazima atakuwa ndugu jamaa au Rafiki
Patamu hapo! Ndo mwenye kitambulisho atapojua kuwa kitambulisho ni transferable au la!
 
Ila umekosea kumwita MWIZI kwani wewe ndio Mwenye makosa hukua makini wakati wa kutuma pesa kwani yeye hajafanya biashara yeyote na wewe ameshangaa mzigo umeingia kwa nn asiende kutoa atumie wakati malaika kamshushia zigo la hela kwenye sim
Na inawezekana hiyo pesa yako sio ya halali ndio uliko itoa au inapokwenda
 
Ni kosa kisheria kutumia pesa ambayo umeipokea kimakosa, sheria inakushurutisha kurudisha sehemu ilipotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…