Nitapataje kidoti kama cha Jokate?

Wala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.

Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima, ikiwezekana hata shingoni hapo nadhani utakuwa umepata hicho kidoti unachotaka na nyongeza ya vingine kaa mia hivi.
Hahaaa daaah a see wee tuwasiliane nikupe zawadii
 
Muombee hiyo dua mwanao..ila date mtu mwenye kidot...nakushaur anza mawasiliano na Ridhione kikwete
 
Wala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.

Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima, ikiwezekana hata shingoni hapo nadhani utakuwa umepata hicho kidoti unachotaka na nyongeza ya vingine kaa mia hivi.
mkuu umeua kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom