yokohama yokozuna
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 322
- 114
Jitoboe ma spoko.
Hahaaa daaah a see wee tuwasiliane nikupe zawadiiWala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.
Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima, ikiwezekana hata shingoni hapo nadhani utakuwa umepata hicho kidoti unachotaka na nyongeza ya vingine kaa mia hivi.
mkuu umeua kabisaWala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.
Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima, ikiwezekana hata shingoni hapo nadhani utakuwa umepata hicho kidoti unachotaka na nyongeza ya vingine kaa mia hivi.