Nitapata wapi mkopo wa vitu vya ndani?

Nitapata wapi mkopo wa vitu vya ndani?

Nawaza Tu.
Mleta mada ni mkopaji maarufu. Hata hivyo vitu anavyodai vimeibiwa ni alikopa fedha akanunua kashindwa marejesho wenye pesa zao wamekuja kusafisha sebule.

Mwizi aibe TV,friji na jiko kwamba hapo nyumbani mke na mtoto walikuwa wapi
Vinginevyo aelezee ilikuwaje vikaibiwa, hata mimi nawaza kama wewe. Yawezekana jamaa wa Oya wamefanya mambo anasingizia kaibiwa
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kukimbia kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Hapo tatizo ninaloliona huna mke, piga chini oa anaekubaliana na kila hali.
 
Zungukia page za used items na uhakika utapata vyote kwa bei kitonga sana. TV 32" kwenye used unaipata hadi kwa laki na nusu.

Jiko elfu 30 hukosi la gas ndogo lile.

Friji pia andaa laki 2 na nusu unapata zuri tu.
Vilevile walivyomuibia atakutana navyo..bora akopesgwe..wapo wauzaji wanakopesga kidogo kidogo. Naonaga mitandaoni, wanakuletea hadi home
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kukimbia kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Huyo ni mkeo kweli au unajilazimisha kuwa naye? Unaishi na mke wa mtu muache aende kwa mume wake
 
Mke ana taka kukimbia kisa TV,friji na jiko asee jitathimini Red frag simple kama hizi umeshindwa ku master
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kwenda kupumzika kijijini kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Mwache huyo mwanamke aende zake utagundua hata hivyo vitu huvihitaji, just enjoy life.
 
Taratibu!
Mkeo anapenda kuangalia tv so right now anaboreka anataman aende kwao kisa tv haipo imeibiwa.
Hiyo inamaana mkeo huwa anashinda nyumban so ilipoenda tv, friji na vitu vingne anapajua
 
Back
Top Bottom