Lovehate
Member
- Apr 26, 2018
- 52
- 75
Alinikuta sina kazi nipo nipo tu nikamtongoza akanikubalia akaniambia ananipenda hivyo hivyo,mapenzi yakaanza akaenda chuo akanipatia kiasi cha pesa kutoka kwenye boom lake.
Nikamwambia poa nipe miezi sita faida itaanza kuonekana kweli bhana Allah akajalia mambo yakaanza kuwa mazuri nikazidi kumpenda nikampa moyo wote nikampa heshima ya kumuona huyu ndio mwanamke aliyeamua kuijenga empire yake ana haki ya kuaminiwa.
Tufupishe story Kilichomkuta anajua mwenyewe alinitumia txt akaniambia "naomba uniache uwe na mwngine " bembeleza anipe sababu hataki ikawa hivyo penzi la miaka miwili likaishia kwa style hiyo.
Siwezi kukutafuta tena ila siku ukinitafuta nitaishia kukwambia ASANTE
Nikamwambia poa nipe miezi sita faida itaanza kuonekana kweli bhana Allah akajalia mambo yakaanza kuwa mazuri nikazidi kumpenda nikampa moyo wote nikampa heshima ya kumuona huyu ndio mwanamke aliyeamua kuijenga empire yake ana haki ya kuaminiwa.
Tufupishe story Kilichomkuta anajua mwenyewe alinitumia txt akaniambia "naomba uniache uwe na mwngine " bembeleza anipe sababu hataki ikawa hivyo penzi la miaka miwili likaishia kwa style hiyo.
Siwezi kukutafuta tena ila siku ukinitafuta nitaishia kukwambia ASANTE