Jiamini, kukataliwa ni sehemu ya uanaume pia, wewe hutakuwa wa kwanza.Kweli kabisa sijui kwa nini hawa dada zetu ktk hili swala la Mtongozano.com wanatufikiriaga vibaya ndio maana wanaume wengi tunaofia eti dada Sky Eclat tupe somo hapa inakuaje hii
Mara barua anaiokota sister kabla mlengwa hajaisoma.Acha bwana usinitishe mwenzio nimeshaiandaa bado ku ipresent tu, barua ni jambo la heshima mi naona ndio maana hata kwenye maombi ya kazi tunaandikaga barua
Inaonesha ni mgeni kaja kutembea kwa dada'ke, hapo alipo mi hua napita tu km njia ni mtoto mzuri mwenye lordeyes, mweusi, mkarimu, mwenye aibu nyingi sio siri nimemzimikia kwa kweli. tatizo linakuja ni kwamba hatoki kwao wala hana rafiki wa karibu na hapo kwao muda mwingi yupo na family members so nashindwa hata kumchomoa kidogo pembeni naishia tu kumsalimia.
Nje kwao wana Genge siku moja nikaplan siku akiwa peke yake nikanunue kitu pale ili nipate angalau dk 5 nimalize kazi, nikapata chance hiyo nikajitia uchizi kwenda kununua kitu chochote cha kutafuna kufika pale nikakutana na maembe mabichi ikabidi ninunue mwanaume nikajikaza nikala embe bichi km mwanamke mjamzito sasa kila nikitaka kuanzisha story wanatokea wateja so akawa busy mpaka namaliza kula lile embe ikabidi nitambae zimepita km siku 2 hivi nikitaraji kupata chance km ile lakini wapi kila nikipita nakuta shazi kwao sasa nimeona bora nimuandikie later nimkabidhi pale kiaina alaf atajua mwenyewe.
Je waungwana wa MMU hii ni njia bora km sio nishaurini niingieje
Kirahisi hivyo?Kumbuka wewe ni stranger kwake lazima ukimwambia direct aogope. Tumia njia ya kuchukua Namba yake kama kuongea saana hauwezi.
Next time nenda nunua embe au kingine kilie hapo hapo wakati unaendelea kula ingiza utani mdogo na vimaswali visivyo vya direct.. kisha mwambie naomba namba maana tumeshakuwa marafiki sasa.
Haha kutongoza ni saana aseeh ndiyo maana kumfundisha mtu inashindikana saana. Yaani mtu kukupa attention inategemea vitu vingi saanaKirahisi hivyo?
kama mi nitajua huna pesaAcha bwana usinitishe mwenzio nimeshaiandaa bado ku ipresent tu, barua ni jambo la heshima mi naona ndio maana hata kwenye maombi ya kazi tunaandikaga barua
Mwenye pesa angetumia njia gani miss chagga kwanza pesa haina thamani kwenye mapenzikama mi nitajua huna pesa
Kwa jinsi yule mtoto alivyo haki ya nani ntamuoa endapo atanionesha mapenzi ya dhati ila akijifanya mjuaji TUTAJUZANAKwanza kabla atujakwambia cha kufanya unataka ku oa au kuchezea tu mana tusije kukaa tunakufundisha kwenda ku haribu future ya mtoto wa watu,alafu kesho uje kuleta mada za kuponda single mam tukaku suport na kumbe tumechangia kupatikana kwa single mom
wewe wewe pesa eti haina thamani nenda kibwege uone kama utampata,,,,,,,,,,,,,, mkuu kwani hujui vitu vinavyoashiria pesa?Mwenye pesa angetumia njia gani miss chagga kwanza pesa haina thamani kwenye mapenzi