Nitamtokeaje huyu Msichana?

Nitamtokeaje huyu Msichana?

Chukua vocha zako kama nne hivi..za mitandao tofaut afu ukifika pale...nunua embe lako kama kawaida..hahahaha ...wakati unakula muulize dada hivi unatumia halotel?? Akijibu ndio" sema dah afadhali afu mpe ile vocha ya halotel mwmbie kuna mtu amekuagiza umrushie afu wewe huna line ya halotel..kwa hiyo aingize kwake afu amuhamishie...(sasa hapa inatakiwa uwe na namba flan ya halotel ambayo sms ya utambulisho ya muamala itafika na namba yake..kazi kwisha.....ili kumchombeza zaidi mwmbie atume nusu nusu abaki nayo..baada ya hapo ongezea na embe jingine endelea kutafuna...ila ukiona tumbo limeanza kuscratch aga fasta sana maeneo hayo...
 
Inaonesha ni mgeni kaja kutembea kwa dada'ke, hapo alipo mi hua napita tu km njia ni mtoto mzuri mwenye lordeyes, mweusi, mkarimu, mwenye aibu nyingi sio siri nimemzimikia kwa kweli. tatizo linakuja ni kwamba hatoki kwao wala hana rafiki wa karibu na hapo kwao muda mwingi yupo na family members so nashindwa hata kumchomoa kidogo pembeni naishia tu kumsalimia.
Nje kwao wana Genge siku moja nikaplan siku akiwa peke yake nikanunue kitu pale ili nipate angalau dk 5 nimalize kazi, nikapata chance hiyo nikajitia uchizi kwenda kununua kitu chochote cha kutafuna kufika pale nikakutana na maembe mabichi ikabidi ninunue mwanaume nikajikaza nikala embe bichi km mwanamke mjamzito sasa kila nikitaka kuanzisha story wanatokea wateja so akawa busy mpaka namaliza kula lile embe ikabidi nitambae zimepita km siku 2 hivi nikitaraji kupata chance km ile lakini wapi kila nikipita nakuta shazi kwao sasa nimeona bora nimuandikie later nimkabidhi pale kiaina alaf atajua mwenyewe.
Je waungwana wa MMU hii ni njia bora km sio nishaurini niingieje
Mambo ya barua yakizamaaaani kwan hana sim akupe number then umuombe mkutane sehem?
 
Ukishindwa hiyo mwambie wee ni mganga na unaogopeka sana hapo mtaani.mwmbie ukitaka kitu huwa hukosi..kwani hukawii kumroga huyo atakayekunyima.....afu baada ya hapo..mwambie hebu nipe namba yako nikurushie picha za watu niliowaroga kisa walikataa matakwa yangu....hapo laIma akupe namba zote mpaka ttcl..ukishapata namba kazi kwisha...
 
Ukishindwa hiyo mwambie wee ni mganga na unaogopeka sana hapo mtaani.mwmbie ukitaka kitu huwa hukosi..kwani hukawii kumroga huyo atakayekunyima.....afu baada ya hapo..mwambie hebu nipe namba yako nikurushie picha za watu niliowaroga kisa walikataa matakwa yangu....hapo laIma akupe namba zote mpaka ttcl..ukishapata namba kazi kwisha...
Hahahaaaaaaaa hii kali
 
Wazee wa fursa.. Nawaona Nawaona

Thanks God my king Julian hanaga shobo na mademu anajua kabisa his gal is there for him..

Cc Smart911
Yeah fursa ikijitokza lazma uichangamkie....huyo King wako asithubutu maeneo ya wanaume wa shoka atakupoteza
 
Mambo ya barua yakizamaaaani kwan hana sim akupe number then umuombe mkutane sehem?
Ishu jinsi ya kuipata hiyo namba yaani lazma nimuite alaf niingize na swaga mbili tatu km mtaalau Daby alivyonielekeza sasa ishu inakuja jinsi ya kumchomoa kwao na kufanya nae mazungumzo
 
Chukua vocha zako kama nne hivi..za mitandao tofaut afu ukifika pale...nunua embe lako kama kawaida..hahahaha ...wakati unakula muulize dada hivi unatumia halotel?? Akijibu ndio" sema dah afadhali afu mpe ile vocha ya halotel mwmbie kuna mtu amekuagiza umrushie afu wewe huna line ya halotel..kwa hiyo aingize kwake afu amuhamishie...(sasa hapa inatakiwa uwe na namba flan ya halotel ambayo sms ya utambulisho ya muamala itafika na namba yake..kazi kwisha.....ili kumchombeza zaidi mwmbie atume nusu nusu abaki nayo..baada ya hapo ongezea na embe jingine endelea kutafuna...ila ukiona tumbo limeanza kuscratch aga fasta sana maeneo hayo...
Daah we noma mkuu inaonesha njia zako za kutongoza lazma ujitoe ufahamu kwanza
 
Mkuu unaonekana mpole saana. Hata kutania tania hauwezi? Tania tania then na yeye atafungua mdomo zaidi ya alivyo sasa. Ukishafanya hivyo inakuwa rahisi hata kuchukua namba ya simu

Upo sahihi mkuu hiyo ndio njia bora na rahisi kuanzishia mazoea kama sio ukaribu
 
kama Njia zote zikikwamba tumia huu msemo ''mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzake''
Hii njia nilitaka niitumie mwanzo wa mchezo kabisa lkn kila nikitafuta mtu wke wa karibu simpati yaan huyu mtoto ni mgeni maeneo haya sijawahi kumuona before mwanamke mwenzie ni Dadake peke ambae kaolewa maeneo hayo na yupo pamoja na watu wengine ambao kiumri wamemzidi kiasi kwama anawaheshimu
 
Wanaume waoga ni fedheha mbele za wapenzi wao.....sasa unaogopa nini....lakini ushamsoma bodylanguage unaona anajaa...? acha undezi hata kukonyeza hujui,...? kwani phoni hana...? tongoza kijanja ...wenzako chini ya dakika tatu tu mtoto anakuwa kashalainika tunapeleka gheto tunabandua ngozi...
 
Back
Top Bottom