Ungerudi kesho yake useme lile embe ulilokula jana limesababisha tumbo kuuma sana wala hukulala unaomba uongee na aliyekuuzia.
Sifa za kijinga,jamaaa kwa kutongozaWanaume waoga ni fedheha mbele za wapenzi wao.....sasa unaogopa nini....lakini ushamsoma bodylanguage unaona anajaa...? acha undezi hata kukonyeza hujui,...? kwani phoni hana...? tongoza kijanja ...wenzako chini ya dakika tatu tu mtoto anakuwa kashalainika tunapeleka gheto tunabandua ngozi...
Hapa mkuu nimekuelewa...nilikuwa nikimtaka demu mitaa flani....basi nahakikisha napita mitaa hiyo na demu mzuri kuzidi yule nnayemtaka...mitaa hiyo mpaka yule demu nnayemtaka anione after then,siku zingine tatu mfululizo napita alone siku nikikutana na duu nnayemtaka inakuwa kama mbwa kakutana na chatu..nikitupia swaga hapindui.....It works...........kama Njia zote zikikwamba tumia huu msemo ''mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzake''
Kwa uyu mtoto inahitajika busara za hali ya juu kwani ni mtulivu mno hana makeke mkuu sitaki kumpotezaWanaume waoga ni fedheha mbele za wapenzi wao.....sasa unaogopa nini....lakini ushamsoma bodylanguage unaona anajaa...? acha undezi hata kukonyeza hujui,...? kwani phoni hana...? tongoza kijanja ...wenzako chini ya dakika tatu tu mtoto anakuwa kashalainika tunapeleka gheto tunabandua ngozi...
Sifa za kijinga,jamaaa kwa kutongoza
sifa za kijinga[/QUO
keep ya head UP.....madem hawapendi wanaume wanaoinamisha vichwa vyao chini..........unainamisha kichwa kwani we ndo unatongozwa.....amka kijana
Nilitaka kula ndizi nikakuta zimeisha ikabidi niagizie Embe nikijua ulemuda wa kumenya mpaka kuja kula na kumaliza ntakua nshamaliza mchezoKutongoza nikama unapiga turambeta sasa wewe umekula embe bichi lazima mate yajae kinywani hapo utaongeaje.
Nasawa na bubu kapokea simu
Nime unsubscribe mkuuHee mkuu umechanganya thread nini
Ndo ushampoteza mkuu....nenda sahizi nikupe mbinu ukifika pale........hamna uchawi wala ndumbaKwa uyu mtoto inahitajika busara za hali ya juu kwani ni mtulivu mno hana makeke mkuu sitaki kumpoteza
Mkuu, pole kwa situation yako, mimi ni kwangu ni vice versa. Nipo kwenye setting ambayo mimi ni mgeni, halafu manzi ni mwenyeji wa setting hii, kwa hio kupitia undercover stories, naambiwa manzi anatafuta namba yangu. Anakosa muda wa kuonana na mimi kwa sababu ya u busy kazini.Inaonesha ni mgeni kaja kutembea kwa dada'ke, hapo alipo mi hua napita tu km njia ni mtoto mzuri mwenye lordeyes, mweusi, mkarimu, mwenye aibu nyingi sio siri nimemzimikia kwa kweli. tatizo linakuja ni kwamba hatoki kwao wala hana rafiki wa karibu na hapo kwao muda mwingi yupo na family members so nashindwa hata kumchomoa kidogo pembeni naishia tu kumsalimia.
Nje kwao wana Genge siku moja nikaplan siku akiwa peke yake nikanunue kitu pale ili nipate angalau dk 5 nimalize kazi, nikapata chance hiyo nikajitia uchizi kwenda kununua kitu chochote cha kutafuna kufika pale nikakutana na maembe mabichi ikabidi ninunue mwanaume nikajikaza nikala embe bichi km mwanamke mjamzito sasa kila nikitaka kuanzisha story wanatokea wateja so akawa busy mpaka namaliza kula lile embe ikabidi nitambae zimepita km siku 2 hivi nikitaraji kupata chance km ile lakini wapi kila nikipita nakuta shazi kwao sasa nimeona bora nimuandikie later nimkabidhi pale kiaina alaf atajua mwenyewe.
Je waungwana wa MMU hii ni njia bora km sio nishaurini niingieje
Sipendagi shida mahondaw wangu... Mambo ya kuishi kama mkimbizi na wasi wasi ya kufumaniwa hata sitaki... I wanna be free with you only mahondaw... Anywhere any place...Wazee wa fursa.. Nawaona Nawaona
Thanks God my king Julian hanaga shobo na mademu anajua kabisa his gal is there for him..
Cc Smart911