Nitamtokeaje huyu Msichana?

Nitamtokeaje huyu Msichana?

mahondaw ulimtongozaga mbele za watu mkuu Smart911


Umeshaelewa alichokushauri lakini???

Nadhani ni vizuri tukamaliza kwanza shida yako .....

About mahondaw and Smart911 tuachie sisi hatujaja kuomba ushauri wala hatupo kwenye interview zenu za kutafutiana kiki kha kha khaaaaaa

Ni maoni yangu tu
As you know opinions are not facts

Cc Smart911
 
Umeshaelewa alichokushauri lakini???

Nadhani ni vizuri tukamaliza kwanza shida yako .....

About mahondaw and Smart911 tuachie sisi hatujaja kuomba ushauri wala hatupo kwenye interview zenu za kutafutiana kiki kha kha khaaaaaa

Ni maoni yangu tu

Cc Smart911
Hahaha... Interview za kutafutiana kiikii... Unawaza mbali mahondaw wangu... Such a smart and brilliant young lady...


Love you mahondaw wangu...
 
Kwa barua utasubiri sana mkuu,foward mzur ni yule anayejaribu kupiga shoot hata akiwa katikati ya mabeki 4,jaribu kushut hata kama utagongesha kwny mtambao panya goli keeper ataanza kukuelewa vzr
 
Inaonesha ni mgeni kaja kutembea kwa dada'ke, hapo alipo mi hua napita tu km njia ni mtoto mzuri mwenye lordeyes, mweusi, mkarimu, mwenye aibu nyingi sio siri nimemzimikia kwa kweli. tatizo linakuja ni kwamba hatoki kwao wala hana rafiki wa karibu na hapo kwao muda mwingi yupo na family members so nashindwa hata kumchomoa kidogo pembeni naishia tu kumsalimia.

Nje kwao wana Genge siku moja nikaplan siku akiwa peke yake nikanunue kitu pale ili nipate angalau dk 5 nimalize kazi, nikapata chance hiyo nikajitia uchizi kwenda kununua kitu chochote cha kutafuna kufika pale nikakutana na maembe mabichi ikabidi ninunue mwanaume nikajikaza nikala embe bichi km mwanamke mjamzito sasa kila nikitaka kuanzisha story wanatokea wateja so akawa busy mpaka namaliza kula lile embe ikabidi nitambae zimepita km siku 2 hivi nikitaraji kupata chance km ile lakini wapi kila nikipita nakuta shazi kwao sasa nimeona bora nimuandikie later nimkabidhi pale kiaina alaf atajua mwenyewe.

Je waungwana wa MMU hii ni njia bora km sio nishaurini niingieje
Ndugu, komaaa we ni mtoto wa kiume bhana nenda mazeee kadake namba afu malizana nae, amaaaa!!!
 
Sawa mwandikie barua kama unataka kuongea naye. Kama unaweza mpe na SIMU hata ya bei nafuu kabisa na umuwekee line halafu umpigie.
 
Hahaha... Interview za kutafutiana kiikii... Unawaza mbali mahondaw wangu... Such a smart and brilliant young lady...


Love you mahondaw wangu...

Love you more Smart911 baby ake na mahondaw

Kuna theory moja sikumbuki sijui ni ya nani inasema
"when two stimulus are repeatedly paired together stimulus one starts to acquire properties of stimulus two"

And I'm always paired together with a genius man Smart911 a.k.a Julian the king what do they expect hahahaah. ..
 
Ungerudi kesho yake useme lile embe ulilokula jana limesababisha tumbo kuuma sana wala hukulala unaomba uongee na aliyekuuzia.
hivi mdada anapokupa namba yake ya simu afu ukimpigia hapokei,sms hajibu humanisha nini mkuu?
 
Mkuu unaonekana mpole saana. Hata kutania tania hauwezi? Tania tania then na yeye atafungua mdomo zaidi ya alivyo sasa. Ukishafanya hivyo inakuwa rahisi hata kuchukua namba ya simu
mkuu wengne hata ukichukua namba response inakuwa zero kabisa hadi unajuta kwanini uliichukua
 
Love you more Smart911 baby ake na mahondaw

Kuna theory moja sikumbuki sijui ni ya nani inasema
"when two stimulus are repeatedly paired together stimulus one starts to acquire properties of stimulus two"

And I'm always paired together with a genius man Smart911 a.k.a Julian the king what do they expect hahahaah. ..

mahondaw wangu.. ukikaa karibu na uwaridi lazima na wewe unukie... love you sana...
 
Hivi kweli hii tuko karne gani.?
Leo hii umtongoze demu kwa barua kweli.?
Mi nadhani angemtungia wimbo(kama zile za kina "Daimondu")
Kisha aende kurecord then auweke kwenye CD kisha amtumie kwenye bahasha akiambatanisha na business card pamoja na sh elfu 30
Nakuhakikishia demu atakuja mwenyewe gheto bila chupi
 
Hahaha... umeandika barua?

Like "nikinywa maji nakuona kwenye glass, usiku silali nakuota.. nakupenda kama mchuzi wa kuku"

Kila la kheri mkuu... nimekumbuka swaga zangu za barua enzi hizo.. noma sana
Kuna maneno umesahau kama NYONGO MKALIA INI.............
 
Back
Top Bottom