Nitamtokeaje huyu Msichana?

Nitamtokeaje huyu Msichana?

Haha kutongoza ni saana aseeh ndiyo maana kumfundisha mtu inashindikana saana. Yaani mtu kukupa attention inategemea vitu vingi saana
1. Chemistry
2. Muonekano wako
3. Status
4. Uchumi wako
5. Mazingira
6. Msaada wako kwake
Mambo kibao saana
Daby ungekua nchi zilizoendelea ungekua unamake money kupitia njia hii ya Mahusiano......hiyo ni kweli vitu hivyo ulivyovimention ndio silaha kuu ya kumpata mpenzi unaemtaka hasa muonekano na uchumi wako
 
Daby ungekua nchi zilizoendelea ungekua unamake money kupitia njia hii ya Mahusiano......hiyo ni kweli vitu hivyo ulivyovimention ndio silaha kuu ya kumpata mpenzi unaemtaka hasa muonekano na uchumi wako
Abuu tujipange hapa hapa tutapiga... ngoja muda uende ende kidogo
 
kama Njia zote zikikwamba tumia huu msemo ''mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzake''
 
Barua? mh ilikuwa zamani na nilikuwa fundi sana wa barua ila now nahisi nimesahau ufundi huo.
Kati ya vitu ambavyo havitopitwa na wakati ni uandishi au ujumbe wa maneno ndio maana kote duniani barua ndio fasihi inayotumika kupeleka taarifa sehemu
 
Abuu tujipange hapa hapa tutapiga... ngoja muda uende ende kidogo
Kibongobongo kila mtu anajifanya mjuaji lkn kwa wenzetu ungeshakua na ki center chako cha ushauri wa mambo ya mapenzi na mahusiano
 
Ndugu mchawi namba tu achana na mambo ya barua utaonekana mshamba.
Tatizo siwezi kuipata namba yake ya simu mpaka niongee nae muda mwingi yupo kwao hana marafiki mtaani ni mgeni kidogo isitoshe mi hapo wao napita km njia kuelekea home ambapo ni mita km 500 mbele so hata ile labda kumvizia inakua ngumu ntapoteza muda mwingi sana
 
We jichanganye ule za uso utulie tu babu
Mwisho wa siku itabidi nitumieushujaa huo nijilipua km Msomali tatizo Magu nae kazuia Viroba kingenipa stimu za kusimama infront of her family member na kumuita chobingo
 
Inaonesha ni mgeni kaja kutembea kwa dada'ke, hapo alipo mi hua napita tu km njia ni mtoto mzuri mwenye lordeyes, mweusi, mkarimu, mwenye aibu nyingi sio siri nimemzimikia kwa kweli. tatizo linakuja ni kwamba hatoki kwao wala hana rafiki wa karibu na hapo kwao muda mwingi yupo na family members so nashindwa hata kumchomoa kidogo pembeni naishia tu kumsalimia.
Nje kwao wana Genge siku moja nikaplan siku akiwa peke yake nikanunue kitu pale ili nipate angalau dk 5 nimalize kazi, nikapata chance hiyo nikajitia uchizi kwenda kununua kitu chochote cha kutafuna kufika pale nikakutana na maembe mabichi ikabidi ninunue mwanaume nikajikaza nikala embe bichi km mwanamke mjamzito sasa kila nikitaka kuanzisha story wanatokea wateja so akawa busy mpaka namaliza kula lile embe ikabidi nitambae zimepita km siku 2 hivi nikitaraji kupata chance km ile lakini wapi kila nikipita nakuta shazi kwao sasa nimeona bora nimuandikie later nimkabidhi pale kiaina alaf atajua mwenyewe.
Je waungwana wa MMU hii ni njia bora km sio nishaurini niingieje
Mwanaume funguka, hata wateja wakikuta unaimbisha;
ndio uanamme wenyewe.
ukijiamini ndo utammaliza nguvu yeye.
 
Niagize mm nikampelekee hizo salaam zako kwake
 
Inahitaji kichwa ngumu kumpanga manzi labda awe anakuelewa tu kabla hata hujaanza mtia verse
Haha kutongoza ni saana aseeh ndiyo maana kumfundisha mtu inashindikana saana. Yaani mtu kukupa attention inategemea vitu vingi saana
1. Chemistry
2. Muonekano wako
3. Status
4. Uchumi wako
5. Mazingira
6. Msaada wako kwake
Mambo kibao saana
 
Back
Top Bottom