Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

ha ha ha haaaa ..... is all can say,

Huyu hata kura za maoni hawezi kupita labda aombe aingie kwa mlango wa viti maalum
 
yaani kinachojitokeza wakati huu ni kuwa na viongozi vipofu kama huyu Shonza sababu anategemea kuhamia kwake ccm kutamfungulia njia ya kuwa mbunge hapo amekosea huyu sio mwanasiasa bali ni mtu mwenye njaa tu.
:israel:
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Sumu yanini?Panya?au!Acha maneno yakizezeta wewe!!
 
Cha maana atakachoambulia bi juliana baada ya kujiunga ccm ni kutobughudhiwa na porish katika biashara yake hapo mitaa ya ohio daslama.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
[/QUOTE
Kuijadili thread hii hata kufikia tu hii page ya 3 ni sawa na kumuongezea pumzi ambazo hana uwezo wa kuzitumia.

Lakini kinachonishangaza si mtoa kauli, bali zaidi ni mwandishi aliyeinua simu, kumtafuta John, eti kumuuliza unasemaje maana kuna mtu kasema anataka kugombea na kukung'oa Ubungo hivyo jiandae, khaaa!

Huu uwezo wetu huu...unayumba sana. Hivi mwanahabari hakujua kuwa ili huyo agombee kisha akutane na John, ni lazima wote wawe wamepitishwa na vyama vyao kugombea. This was unncessary balancing of the story...ofcoz with...aagh ngoja niishie hapa, nisije kumuongezea mtu pumzi asiyoistahili, kwa sababu hana uwezo wa kuitumia.
 
Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.

8E9U8493.jpg




Ukiitazama vyema hii picha utagundua wote hapo kwenye hii picha wamepoteza muelekeo.

Faraja ninayoiona hapa ni kwamba angalau CCM wametunza ahadi yao ya mapokezi kwa hawa wapiganaji wao. Ni ahadi yenye nia njema kwa nchi au la, hilo sasa ni jingine. Ni ahadi itayoleta tija kwa CCM, hilo pia jingine. Kwa upande wa BAVICHA, huu ni ushahidi kuwa kitengo cha intelijensia cha Chama kipo Imara, na yule aliyeleta Intelligence kuwa hawa vijana walikuwa mamluki wa CCM apewe Tsh. 5,000,000/- (au hata bora zaidi) haraka kwa kufanya ujasusi uliotukuka.

Hongereni sana BAVICHA, Hongereni sana Red Brigade! Prevention is always better than cure. Big up kitengo cha Ujasusi Chadema.
 
Naamini hutakufa kabla ya kujiona ukiwa miongoni wa wapinzani wa serikali itakayoundwa na CDM itakavyokuwa inahudumia watanzania kwa Uadilifu, weledi na haki.

hata likigombea halipiti lijuliana shonza halina adabu saliti huni liende likatumike huko kwa mafisadi
 
Yeye asubiri tu 2015 atakapoambiwa kuwa si rai wa Tanzania.

Wanamtumia tu kama "condom".
 
Kama unataka kuthaminiwa na kusikilizwa kwa UANAMKE wako nenda CCM mama, huko ndio watu huchaguliwa kuwa wakuu wa mikoa na wilaya kwa kigezo cha UANAMKE bila kujali kama wana uwezo au kukubalika na jamii. Ndani ya CDM ni sera mama sio jinsi yako.
 
...Na habari ilienea mjini kutoka gombe...kwamba chadema kitasambaratika muda mfupi ujao.

Kumbe silaha za maangamizi ndio hawa akina bi juliana. Ha ha haaaa! Kondeni ni kondeni tu.
 


.....wadau wa utalii wekeni na hii kwenye maajabu ya Tanzania italipa.....


CC wizara husika
 
sasa ni rahisi sana kujua malengo yake alipokua CDM, sasa ameingia chama cha watu siku hiyo hiyo anatangaza atagombea ubungo, huyu kama ubongo wake hauna mavi una nini?? wajinga kama hawa CCM hua inawapenda sana, kwani lamwai yuko wapi? tena lamwai alikua maarufu kuliko haya matindiga.mazezeta tu haya.
 
umezunguka sana shoza,mara ooooh viongozi wa juu hawakusilizi,mara oooooh viongozi wa juu wanamfumo dume! kumbe yote hayo ulikua unataka ubunge,sasa nakwambia shoza ukipata hata udiwani tu nalamba moto! maf..xxxx ..yako....!
 
Kinana anaweza mgeuza small house kama hawajapigana kikumbo na Nchemba sijui katoto kameiva
Mh!ni kweli kabisa huyu mtoto anavutia sana,si uhakika kama mkuu wa kaya na vigogo wengine watamuacha hivihivi!
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
ulifunguliwa kwa operation?
 
Back
Top Bottom