Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
eti nani myika duh huko unafika mbali, mimi tu hapa hata ukitaka uchaguzi leo; wewe CCM mimi CDM ngoma haingoki. - unaruhusiwa kuota mchana ayway!! Mnyika its another class dadangu -- usitake watu wakujue jue kwa kutaja majina ya makamanda wetu. usharudi magambani tulia uliwe.
 
huyu dada ni kimeo kuliko maelezo.nadhan atakuwa ndo wa kwanza kutangaza nia ndani ya ccm katika harakati za ubunge!hivi tambwe hiza yuko wapi ndugu zangu?
 
Kuna malengo mengine kwa kweli hata kama unayaweka inabidi uangalie uhalisia wa kuyafikia, ni sawa na mtu kutokuwa na uwezo wa kununua hata baiskeli halafu ukajiwekea lengo la kununua chopa. Lengo kama hili kwa huyo binti ni la juu sana na atafanikiwa tu endapo mshindi wa jimbo hilo atapatikana kwa kuchakachua na si kwa kura halisi.

Hata kwa kuchakachua nani atampitisha?? huyo hata kwenye kura za maoni za magamba hatafika. Labda ajaribu huu uchaguzi wa 2014 naona hapo anaweza kupata fursa ya kufika kwenye ngazi ya kura za maoni
 
Mhhhh!!!!!!

attachment.php

eti nani myika duh huko unafika mbali, mimi tu hapa hata ukitaka uchaguzi leo; wewe CCM mimi CDM ngoma haingoki. - unaruhusiwa kuota mchana ayway!! Mnyika its another class dadangu -- usitake watu wakujue jue kwa kutaja majina ya makamanda wetu. usharudi magambani tulia uliwe.
 
Ninachowapenda magamba wanapenda sana kujidanganya.
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Labda "ubunge" wa kitandani. Hata nao kuna siku ataukosa akiendelea kwa mtindo alionao sasa maana ndude yake itakuwa imeona misumari mingi kuzidi darts board iliyochakaa!
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.

Huyu dada nimchemfu na sasa ataisoma hapo ubungo maccm kibao wanapapigia mahesabu akiwemo nape sasa ajue hawatamruhusu kirahisi kupita au labda na kwenyewe atahama
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Hayo maneno nimeyapenda nahisi Shonza hajijui kuwa ndo mwisho wake kisiasa,Anafikiri katika CCM wanaosaka nafasi kama hizo upo pekee yake,hivi katika CCM yupo mtandao upi kwanza,Shonza kama alidanganywa kwa uroho wa madaraka basi ndo kaisha.Nchi hii wanaotumia dawa za hallucination wapo wengi huenda na Shonza ni miongoni
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Goodluck Shoza and all the best!!!!!!!!
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hivisasa, watanzania wengi wana uelewa wa kutosha juu ya haki zao, Taifa laolinahitaji nini na ni aina gani ya viongozi na chama kinaweza kuwaletea Tanzania waitakayo. M4C inazidi kuchanja mbuga,
 
Anajua alichogawa bure kwa mzee wa kaya ndiyo maana anaropoka maana huko keshamaliza mtihani na alishapitishwa. Upande wa wananchi tu ndiyo utakaomwangusha. Majina tulionayo yanaashiria kitu. Shonza?
 
Back
Top Bottom