Mkuu sina uhusiano na Nape na sijawahi kuonana nae ana kwa ana. My point was that CCM lazima watasimamisha mtu kugombea jimbo la Ubungo na mtu huyo kwa uhakika sio Juliana Shonza. kwa kuangalia wagombea wa CCM jimbo la ubungo ndoo nikaona walau Nape.
Nape mimi na wewe hatumkubali kwasababu tunatumia hoja kama kigezo kikuu ( Tunajiuliza who is Nape? Hivi amefanya nini chenye mashiko zaidi ya kelele zake zisizofuata protocally wala utofauti wa chama na serikali, ana nini cha kuonesha?
Msemaji tu lakini kuandika hataki zaidi ya hoja za paragraph moja hapa JF) lakini wapiga kura kaka, kuna wanaongalia sura, kuna wanaongalia dini, kuna wale undecided voters wanaotegemea tukio la mhimu just before the election. Ukitumia vigezo kama kigezo kupima wagombea kwa CCM ya leo jimbo la ubungo hakuna wa kugombea na Mnyika.
.......
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo
Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.
Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo
Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.
Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Ajaribu kinondoni, kuna akina Fyonza wengi, anaweza akapata.Huyo Shonza anadhani ubunge ni sawa na kazi ya kuuza baa ndo maana anasema atamshinda Mnyika ubungo. Ingekuwa kazi ya kuuza baa ningekubaliana naye lakini hili la Ubunge anaondoka ndoto za mchana