Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.
![]()
Awana hadhi ya kupokelewa na mwekiti tena rais, hao ni saizi ya Nape
Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.
![]()
Ukiitazama vyema hii picha utagundua wote hapo kwenye hii picha wamepoteza muelekeo.
huyu shosti asubiri kumegwa na wakubwa tu...hapo wanampangia ratiba..sijui ataanza komba au mwigulu..
sawa tu, kumbe nia yake jimbo la Ubungo?
Naona mnyika atapita bila kupingwa
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo
Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.
Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Awana hadhi ya kupokelewa na mwekiti tena rais, hao ni saizi ya Nape
Huyu dada asaidiwe haraka ana dalili zote za kuchanganyikiwa anafikiri kugombea ubunge ni sawa na kugombea u-miss Tanzania.
Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.
![]()
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.
Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tumuache ajionee Dunia ilivyo!