Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.

8E9U8493.jpg

Awana hadhi ya kupokelewa na mwekiti tena rais, hao ni saizi ya Nape
 
So sialikuwa anasema, watu wa Mbeya walimtu? Vipi mbona asiende kugombe MBEYA? Anataka. Umaarufu mfu!
 
Jamani muacheni Shonza asije akafe kwa pressure kwani huo ni mkwara wa mende kusukuma Kabati. Tutamujuaje kama hajafa?
 
Hivi huo Ubunge wa Ubungo na Nape si unautaka,kinawaza madaraka tu sio Mtu wa kumuamini kabisa
 
sawa tu, kumbe nia yake jimbo la Ubungo?
Naona mnyika atapita bila kupingwa

Si Mnyika tu,angalia Nepi nayo inataka jimbo la Ubungo,mbona ccm ina kazi,msambaratiko ni lazima tu kwa ccm 2015.
 
Huyu dada asaidiwe haraka ana dalili zote za kuchanganyikiwa anafikiri kugombea ubunge ni sawa na kugombea u-miss Tanzania.
 
imekula kwake tayari , ameanza kutapatapa.Mungu hawapendi wanafiki hata kidogo atawafuata wanafiki wenzie kama KABOUR, ngawaiya, salakana na masumbuko lamwai ingawaje hata hadhi yao shonza hana pia!
 
Aliye kuita mtoto hakukosea tena alistahili kukuita kichangaa maana uwezo wako wa kufikiri ni zero. Kama kazi waliyokutuma imekushinda watakupa nafasi ya kupambana na jembe Mnyika? Tamaa zako ndio zimekufikisha mwisho wa siasa.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.

Nani kamwambia atateuliwa kugombea ubungo? Labda viti maalumu ambavyo kwenye katiba hii tunavichinjia baharini.
 
mmmh hatahajajua kama ccm itampitisha alishaanza kupayuka atamng'oa Munyika.Hana ubavu huo Mnyika ni jembe lakupambana na akina Sita, Pombe na siyo huyu mrembo.Nadhani ameyasema hayo kwa hasira ya kufukuzwa uanachama chadema
 
Huyu dada asaidiwe haraka ana dalili zote za kuchanganyikiwa anafikiri kugombea ubunge ni sawa na kugombea u-miss Tanzania.

Eti wameajiriwa na Mulugo anayeongoza kazi ya kuisambaratisha CHADEMA mbeya.
 
Kama atapitishwa na ccm itakuwa ni furaha kubwa kwangu na nasema pasipo kampeni myika atashinda
 
Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.

8E9U8493.jpg

MAGAMBA kumeozaaaaaaaa!!!!!!!!!! Kama Juliana naye ni mtaji kwao hiyo ndiyo imetoka. Labda kwa nguvu ya PoliCCM na Tume ya UchaguCCM.
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums



ww ndo mburula kweli mtajibeba 2015.........................................
 
Back
Top Bottom