La Biblicana
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 556
- 344
Ni haka kabinti kalichojikunyata kwenye kwapa la JK ndo kanataka kapambane na Mnyika aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote??
hakika hili ni tusi kwa wakazi wa ubungo.
![]()
Are you sure mkuu?
Bila shaka Nape amekula bingo. Kadada kanafanania na shughuli za unenguaje kwenye gari la TOT wakati wa kampeni.
Acha afundishwe kusuta awe kama hawa wenzake halafu baadaye apewe ukuu wa Wilaya