Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Huyu mbona anakuja vibaya hivyo??? Anafikiri CCM unajiamulia tu ugombee wapi na unapita kama ilivyo CDM? CCM kuna demokrasia ya kweli, kuna mchakato wa kumpata mgombea, hamna udicteta wa CDM wa Mbowe au Slaa wa kuamua nani agombee wapi!!!!

Gamba jipya hilo likaribishe!
 
Siasa mchezo mchafu, Shonza juzi tu ulitupia uzi humu jf ukidai wewe ni mwanachama halali wa CDM leo umeenda CCM hata hujapumua ushaanza kupambana na viongozi wako wa zamani duuh! Kumbe ulivyokuwa ndani ya CDM hukutaka Mnyika awe mbunge. CCM na nyie angalieni mtakavyomfukuza ataanza kupambana na jimbo la waziri mkuu.
 
Huyu mbona anakuja vibaya hivyo??? Anafikiri CCM unajiamulia tu ugombee wapi na unapita kama ilivyo CDM? CCM kuna demokrasia ya kweli, kuna mchakato wa kumpata mgombea, hamna udicteta wa CDM wa Mbowe au Slaa wa kuamua nani agombee wapi!!!!

ccm ni mkwanja na kutoa uroda kwa wenye chama ili upate uongozi. Utashangaa mtoto mlaini kama shonza anatakiwa agawe uroda kwa kibabu chenye umri kama wa kingunge ili apate udini! Hataree
 
Juliana huo mkakati unaotumia sio mzuri. Wewe fanya mavituz yako huko Ubungo wananchi wakufahamu wewe ndiye sio kuongea tu bila mantiki. Jipange vizuri sio rahisi kihivyo.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Source:Tanzania Daima

ccm wamemwahidi kupitisha jina lake au anaongea tu? yote majaliwa, ccm wakimpitisha itakuwa vizuri maana watakutana na huyo ambae cdm watampitisha. anajuaje kama mnyika atapenda kushift kugombea jimbo lingine? mdada wa ajabu kwelikweli, kazi ipo
 
ni bora kuwa maskin wa kipato na si umaskin wa kufikil kama huyu punguani, kweli!? Mnyika vs juliana
 
Hili la yeye kujua atagombea ubungo si la kushangaza maana hiyo ndiyo staili ya JK. Mwepesi sana kuahidi jambo hata kama haliwezekani. Utaona ni namna gani huyo dada asivyojiheshimu. Ameingia jana tu ndani nyumba haijui vizuri tayari keshaanza mambo yake? Maajabu!!! Hapo anaitukana CCM na uongozi wake kwamba tayari walishapangiana hivyo vyeo mapemaaa. Tusubiri tuone, muda utaamua.....
Hahahah hata hajamaliza siku moja tayari kaanza kuropoka!!
Nani kamwambia atateuliwa kugombea ubunge jimbo la ubungo?!
Kama alikua hajui hili asubiri aone!
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wewe na Juliana wako na ccm yenu wote wap&¤¥»#,,,v,,, watupu!
 
ccm ni mkwanja na kutoa uroda kwa wenye chama ili upate uongozi. Utashangaa mtoto mlaini kama shonza anatakiwa agawe uroda kwa kibabu chenye umri kama wa kingunge ili apate udini! Hataree

Hivi ndiyo vichwa vya Chadema.
 
Hivi ndiyo vichwa vya Chadema.

10.jpg


Toto hilo mlipe viti maalumu, mi napokea posa
 
Bora apate mana mnyika hana analofanya katika jimbo lake zaid ya kelele bungeni
 
hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums
unaumwa???????????????????????
 
Kwanza ni vizuri angejiuliza, CCM watampitisha awe mgombea wao wa Ubungo.
Jibu lipo wazi kabisa NEVER.
halafu na Nape naye analitaka, ngoja waanze kutifuana na Nape kwanza, au Ubungo inagawanya majimbo nini?
 
Namuonea huruma lazima atameng'wa sana kwa tamaa za ubunge.. Aulize kina VK,

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom