meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
hivi baba yake shonza ni nani ccm mpaka ajinadi hivi?
Duh!Dada mbona anapauka mapema sana kisiasa!amekosa kabisa hoja ya msingi!Mfumo dume!! kumbe Halima Mdee ni dume pia?
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo
Source:Tanzania Daima
Nafikiri haijui vizuri CCM!hivi baba yake shonza ni nani ccm mpaka ajinadi hivi?
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.
Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo
Source:Tanzania Daima
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.
Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kama ataendelea na hii tabia yake basi CCM pia itamshinda!Huyu Binti hajafunzwa toka kwao ...ndio maana anahangaika na dunia .binti mdogo mambo mazito kama Israel mtoa roho!