Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Marehemu Regina alimtoa kamasi mwanamme jimboni kule Morogoro!Regina alikuwa mwanamme¿
 
Kumbe mbio Za ubunge Ubungo zimeanza?Juliana hivi ule mradi wa kuuza kuku umeacha na sasa ni siasa eti?Nakuibia siri,ujue mimi ni babu wa Msambiazi,mtafute Hawa Ng'umbi mgombea ambae kura hazikutosha aliona nini wakati anajipima na J.MNYIKA?Pesa ulizohongwa ni kodi ya Watanzania wanyonge,zitakutesa sana,ww ni kwamba umeshuka value.Hata hivyo hongera kwa kufanana sana na Delila,pole kwa kuwa nimegusa kuta za moyo wako.
 
Mpumbavu mkubwa anaota mchana huyu. Alishindwa Keenja na hela zake na alikuwa mbunge aliyetangulia. Alishindwa Hawa Gumbi na fedha zake. Kwanza napenda kumpa pole huyu binti maana hata hiyo nafasi kwenye kula za maoni hapati!!! Aache kujishaua
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Source:Tanzania Daima

Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa, nimecheka sana leo. Shonza you make my day...

Hivi CHUI WA KUCHORA anauma kweli?? Yaani Mnyika atishiwe na Chui wa kuchoraaaaaa

Huyu binti kaingia CCM kichwa kichwa huku hajui kuwa CCM ina wenyewe. Kama jabali lao Nape alishindwa kupita kura za maoni huyu binti KAPUKU atapitaje. Jimbo la ubungo ili upenye kwenye kura za maoni CCM uwe na zaidi ya Milioni 200. Yeye alikuwa anaonea wivu hata mshahara wa Heche na kulia lia atapata wapi hata milioni 10 za kuingia Ubungo. Kweli kichaa si lazima avue nguo. Siasa za kupiga JamiiForums na magazetini ni tofauti kabisa na huku mitaani tulipo, haihitaji digrii kujua hilo
 
ivi nyie wapofu wa kuelewa mnao sema mnyika hajafanya kitu mna akili za kifikiria nini??? Hivi hamoni kijana wawatu anavyo jitoa kutetea wananchi pamoja na yote yanampata pale bugeni au huwa hamfuatilii bunge? Unajua kuna wakati mtu anaongea kitu hadi unaanza kujiuliza hivi huyu kichwa chake kina ubongo au hakuna kitu, sasa inamana mnyika ana toa hela zake mfukoni ili aendeleze ubungo??? Au ulisha wahi siki amepewa hela amekula??mbona nashindwa kuwashangaa mijitu mingine jama naomba muwe mnafuatilia bunge ndo mje kulalama humu sio siri myika anajtahidi sana kueleza kero za waubungo bungen tena nahisi angekuwa anatoa pesa zake mfukon angefanya kwa gharama zake lakin ndo hivo anaendelea kuangaika huku mashetan ya ccm yanazd kumkandamiza. Ila tutafika tu.

mkuu Loook acha kuhangaika na vilaza humu wasio na masikio na macho yamezibwa kwa fedha za magamba na posho wanazolipwa kwa kupost hoja za kubeza wabunge wa CDM tunaona michango yao bunge mpaka speaker na naibu wake wanaweweseka kuulizia vifungu vya kanuni kwa kuchanganywe na hoja za wabunge wa upinzani mkuu.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Source:Tanzania Daima

Wakati anachaguliwa makamu mwenyekiti BAVICHA, alikuwa mwanaume?
 
Kameanza kujsemea hovyo hovyo,kwel yule ndege aina ya kwale huwa hafugiki,kikwete jana amekataza kutoa matamko ya kugombea yeye ndio kwanza anaanza tutakuona mama,mwampamba,atashndana na zambi kwenye maon?CDM mboz lazma tushnde,utaikumbuka hyo nafas
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Source:Tanzania Daima
Maskini Juliana shoza ni ccm ipi itakayompa TIKETI ya kuwania ubunge kupitia ubungo,nazani hajui historia ya ccm ,angalia wenzako waliok waliokimbilia cccm kwa mbwembwe kama wewe wamebaki kama banzoka iyoisha utamu sasa wananata kwenye sori za viatu.pole sana bi dada.
 
Yani siasa za kuganga njaa mbaya sana hapo kaisha ambiwa anza kuongolea kugombea ubungo yani anatumika kama mpira wa kiume halafu mwishoe ata kumpisha hawampishi maskini anadhani atapewa ukuu wa wilaya wakati katiba mpya inafuta icho cheo feki huyu dada atakuwa ana mtindio wa ubongo yamkini muda si mrefu atapotea kabisa.
 
Haya sasa ,kama chadema wakubwa ndo wanaongea tu akaongee ccm ambapo hakuna wakubwa,Kumbe salakasi zote zote alihaidiwa ubunge wa ubungo,atausikia kwenye bomba
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Wewe una kura ngapi kwani? Si ni moja tu? Na si ajabu wewe si mkazi wa Ubungo. Tuulize sisi wakazi wa Ubungo, inabidi ifanyike kazi ngumu kumg'oa Mnyika Ubungo ikiwa ni pamoja na kumleta mwanasiasa mwenye ushawishi na nguvu sio huyo galasa lenu Juliana Shonza, hana hadhi ya kuwa Mbunge wetu.

Tiba
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

ohohohooo! tehteh kaazi kwerikweri!
 
Juliana Shonza
aliyetimuliwa Chadema na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa
kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya
viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika
(CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka
2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati
yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Source:Tanzania Daima

Huyu demu atakuwa na mimba changa inayomsumbua. Sasa hivi anaongelea 'mfumo dume', lakini kipindi kifupi kilichopita alikuwa anaongelea 'ukanda'. nyambaf zakee...
 
Kwanza ni vizuri angejiuliza, CCM watampitisha awe mgombea wao wa Ubungo.
Jibu lipo wazi kabisa NEVER.

8E9U8493.jpg


Kuegama kifuani kwa Kikwete anaona ndio ameshafanikiwa kuchukua kiti cha ubunge, awaulize watu maarufu akina Masumbuko Lamwai wameishia wapi. Amefika kwao CCM, wameshamtumia atasahaulika kama kiatu cha zamani wakati kuna vipya vinatafutwa.
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

kweli wewe Sumu unamjaza sumu mwenzio.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom