Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Cnataka nirelate tukio lilivokua ili nihakikishe kama kweli alitumia
Mwanaume ana chelewa kumaliza Kama ana fanyaga mapenz Mara nying mfano kwa wiki Mara 4, na Kama haja fanya mapenz siku nyingi lazima awai kumaliza na ana weza kuludia round Zaid ya tano
 
Yes normal rate kwa binadam wa kawaida ni kuanzia dk 2 hadi 8 wengine husogea hadi 10. Wachache sana ndio huvuka 15. Lkn hakuna mtu atafanya zaidi ya dk 45 kwa nguvu za kawaida. Nimebahatika kufika Ulaya na Asia hata huko ni kawaida sema wao wanakuwa na vidonge fulani vidogo hivi nawe ukipata unakata kipande kidogo sana yaani hata ile sijui piriton ni kubwa. Ukipata demu wa kizungu utafeel utofauti kidogo hasa kwenye joto ila mostly ni wasafi sana, yaan unakuta K haina harufu au ukomavu wa unyoaji wa mavuzi nk Watu wanaongopewa kwenye PORNO FILM. Usijihisi mkosefu kama unatumia juu ya dk 2 au 3 kwenda juu kidogo. Wenye tatizo ni wale chini ya DK na hata kurudia ni mtihani.
Kwa normal rate kwa binadamu kweli Ni dk 3 mpaka 5ikizidi Sana Ni 8 hizo za nusu saa au lisaa sio starehe Tena Ni kumkomoa mwenzio na huna love nae kabisa mapenzi Ni starehe sio karaa .Na pia kusema kuwa Eti ulikula hela zake na pombe ya ghali Ni ujinga Sana na ushamba mapenzi Ni starehe sio karaa jamani .
 
Mwanaume ana chelewa kumaliza Kama ana fanyaga mapenz Mara nying mfano kwa wiki Mara 4, na Kama haja fanya mapenz siku nyingi lazima awai kumaliza na ana weza kuludia round Zaid ya tano
Huyu itakuwa alichepuka siku so nyingi aisee
 
Kwa normal rate kwa binadamu kweli Ni dk 3 mpaka 5ikizidi Sana Ni 8 hizo za nusu saa au lisaa sio starehe Tena Ni kumkomoa mwenzio na huna love nae kabisa mapenzi Ni starehe sio karaa .Na pia kusema kuwa Eti ulikula hela zake na pombe ya ghali Ni ujinga Sana na ushamba mapenzi Ni starehe sio karaa jamani .
Well said
 
Yaani ndugu sredi umeiganda mwanzo mwisho.

Huna siku nyingi utawapakia mkongo wadada.

Full kuwanyoosha kuanzia wapangaji wenzio.

Loh🤣
Mahusiano na mpangaji mwenzako ni hazard tena yanahitaji precautions. Mkigombana utaiona nyumba chungu. Umepata mpya kumleta nyumbani huwezi na kodi ulilipa ya mwaka mzima.
 
Huyu itakuwa alichepuka siku so nyingi aisee
Mwanaume hasipo fanya mapenz mwez tu ana teseka tena Kama ana kula vizur na hana stress, siyo mgonjwa, lazima mbegu zitakuwa nying na zitakuwa zinatoka zenyewe ukiamka asubuh utajikuta umejichafua mwenyewe,na kila dakika uume una Simama tu.
 
Hio inaitwa
PUTENGA PUTULU YA DANJEE..... nguvu yamba kumare . Jichanganyee uone moto
 
Wanawake hamuelewakagi mnataka nini yaani... mkisuguliwa kidogo shida mkisuguliwa sana napo shida... Lol
 
Back
Top Bottom