Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
Kama umekula hela zake hauko kwenye position ya kuchagua atatumia nini kwenye mapambano kuwa mpole mpaka atapomaliza ni hayo tu....

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
Mkongo unapakwa nusu saa au lisaa au lisaa na nusu kabla ya mechi. Inapakwa kidogo sana huku ukifunika na kimfuko laini (kilemba). Ndani ya muda huo ukienda anapiga game nzito kwelikweli na kama atatembea 2 basi atakuchubua. Huwa ina ganzi na ndio maana mtu anachelewa kumwaga, mostly hutumika kwa wanawake malaya (sorry ww sijui kama upo kundi hilo) ila ukiona mtu anakupakia mkongo ujue amekuona umekomaa kwenye kupigwa mashine.
 
Hamtabiriki mnataka nini,
Mkipelekewa moto mnalalamika,
Mkikojolewa mapema mnaanza dharau!

Mnatakaje?? Au ndo ndo tuseme ata nyie hamjui ni nini mnachokitaka?
 
Kwa hiyo nijipige kifuani huku nikisema mimi ni shujaa?
Yes normal rate kwa binadam wa kawaida ni kuanzia dk 2 hadi 8 wengine husogea hadi 10. Wachache sana ndio huvuka 15. Lkn hakuna mtu atafanya zaidi ya dk 45 kwa nguvu za kawaida. Nimebahatika kufika Ulaya na Asia hata huko ni kawaida sema wao wanakuwa na vidonge fulani vidogo hivi nawe ukipata unakata kipande kidogo sana yaani hata ile sijui piriton ni kubwa. Ukipata demu wa kizungu utafeel utofauti kidogo hasa kwenye joto ila mostly ni wasafi sana, yaan unakuta K haina harufu au ukomavu wa unyoaji wa mavuzi nk Watu wanaongopewa kwenye PORNO FILM. Usijihisi mkosefu kama unatumia juu ya dk 2 au 3 kwenda juu kidogo. Wenye tatizo ni wale chini ya DK na hata kurudia ni mtihani.
 
IMG_20210216_102752456~2.jpg
 
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
Muhuni Mwenzetu leo kazidisha moto😂
 
Mkongo unapakwa nusu saa au lisaa au lisaa na nusu kabla ya mechi. Inapakwa kidogo sana huku ukifunika na kimfuko laini (kilemba). Ndani ya muda huo ukienda anapiga game nzito kwelikweli na kama atatembea 2 basi atakuchubua. Huwa ina ganzi na ndio maana mtu anachelewa kumwaga, mostly hutumika kwa wanawake malaya (sorry ww sijui kama upo kundi hilo) ila ukiona mtu anakupakia mkongo ujue amekuona umekomaa kwenye kupigwa mashine.
Hapana mkuu, sikuwa nimekutana nae muda mrefu, labda ile shauku ya kumwambia nitafaid akaona anipakie ,ili nifaidi
 
Yes normal rate kwa binadam wa kawaida ni kuanzia dk 2 hadi 8 wengine husogea hadi 10. Wachache sana ndio huvuka 15. Lkn hakuna mtu atafanya zaidi ya dk 45 kwa nguvu za kawaida. Nimebahatika kufika Ulaya na Asia hata huko ni kawaida sema wao wanakuwa na vidonge fulani vidogo hivi nawe ukipata unakata kipande kidogo sana yaani hata ile sijui piriton ni kubwa. Ukipata demu wa kizungu utafeel utofauti kidogo hasa kwenye joto ila mostly ni wasafi sana, yaan unakuta K haina harufu au ukomavu wa unyoaji wa mavuzi nk Watu wanaongopewa kwenye PORNO FILM. Usijihisi mkosefu kama unatumia juu ya dk 2 au 3 kwenda juu kidogo. Wenye tatizo ni wale chini ya DK na hata kurudia ni mtihani.

Shukrani mkuu kwa somo maridhawa.
 
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
Lengo la kupaka VLC sio kukukomoa Bali Ni kukusatarehesha zaidi na zaidi.
 
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
JF unaweza pata bikra kabisa wakuu
 
Back
Top Bottom