Symbiotic
Member
- Oct 25, 2022
- 24
- 37
Jana tumeshuhudia Stars ikishinda tena kwa mbinde goli 1 kwa sufuri dhidi ya Niger, huku Algeria akiifunga Uganda 2-1. Msimamo hadi sasa ukionesha Algeria akiongoza kundi na akiwa tayari kashafuzu fainali hizo hapo mwakani.
Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7 na hasi ya goli 1 huku nafasi ya 3 akishika Uganda akiwa na points 4 na hasi ya goli 3.
Kiuhalisi Stars na Uganda wote bado wako na nafasi kutegemeana na matokeo ya mechi zao za mwisho.
Huku Stars yy akitafuta sare tu dhidi ya Algeria bila kujali matokeo ya Waganda kule dhidi ya Niger au Stars akifungwa na Algeria basi aombe asifungwe goli nyingi wakat huo akimuombea Uganda matokeo ya sare.
Ugumu unakuja pale ambapo kiuhalisia ni ngumu Stars kupata matokeo away tena kwa Algeria hapa binafsi sina matuamini hata kidogo hata sara tu ni ngumu sana kwa aina ya mpira tunaocheza ukilinganisha na kiwango cha Waarabu.
Kwangu naona hii game Stars akipoteza na hesabu zitaharibika zadi pale tutakapochezea kichapo cha goli nyingi kuanzia labda 3 nk, au hata mbili tu halafu wakati huo Uganda akamfunga Niger.
Nitakuwa wa mwisho kuamini ikiwa Stars itafuzu kwakuwa ninaamini tutafungwa na Waarabu na si chini ya goli moja pekee na wakati huo nawapa Waganda nafasi ya kumfunga Niger.
Wenzetu Waganda anagalau hatua kama hizi huwa wanajua nini wanachokitaka na ni wazuri na wana uwezo wa kupata matokeo away kwa timu aina ya Niger wanajua nin wanakipambania, ila bado nahic sisi huwa tunacheza tu ila hatushindani.
Nawaona waganda wakiungana na Algeria. hatuna uwezo wa kuwafunga Algeria na kutoa nao sare kwao, hiyo nafasi ni finyu na ndogo kuliko ngamia kupenya kwa tundu la sindano, wale jamaa walishatupiga hadi goli 7 kule kwao. Waganda uwezo wa kumfunga Niger wanao.
Ndio utaifa ni muhimu lkakini huwezi kwepa uhalisia. Hata Ukinambia nibeti nitaondoa mahaba na utaifa pembeni, mkeka nitawapa Algeria na Uganda kushinda.
Mbio zimebaki kwa Tanzania anaeshika nafasi ya 2 kwa kuwa na points 7 na hasi ya goli 1 huku nafasi ya 3 akishika Uganda akiwa na points 4 na hasi ya goli 3.
Kiuhalisi Stars na Uganda wote bado wako na nafasi kutegemeana na matokeo ya mechi zao za mwisho.
Huku Stars yy akitafuta sare tu dhidi ya Algeria bila kujali matokeo ya Waganda kule dhidi ya Niger au Stars akifungwa na Algeria basi aombe asifungwe goli nyingi wakat huo akimuombea Uganda matokeo ya sare.
Ugumu unakuja pale ambapo kiuhalisia ni ngumu Stars kupata matokeo away tena kwa Algeria hapa binafsi sina matuamini hata kidogo hata sara tu ni ngumu sana kwa aina ya mpira tunaocheza ukilinganisha na kiwango cha Waarabu.
Kwangu naona hii game Stars akipoteza na hesabu zitaharibika zadi pale tutakapochezea kichapo cha goli nyingi kuanzia labda 3 nk, au hata mbili tu halafu wakati huo Uganda akamfunga Niger.
Nitakuwa wa mwisho kuamini ikiwa Stars itafuzu kwakuwa ninaamini tutafungwa na Waarabu na si chini ya goli moja pekee na wakati huo nawapa Waganda nafasi ya kumfunga Niger.
Wenzetu Waganda anagalau hatua kama hizi huwa wanajua nini wanachokitaka na ni wazuri na wana uwezo wa kupata matokeo away kwa timu aina ya Niger wanajua nin wanakipambania, ila bado nahic sisi huwa tunacheza tu ila hatushindani.
Nawaona waganda wakiungana na Algeria. hatuna uwezo wa kuwafunga Algeria na kutoa nao sare kwao, hiyo nafasi ni finyu na ndogo kuliko ngamia kupenya kwa tundu la sindano, wale jamaa walishatupiga hadi goli 7 kule kwao. Waganda uwezo wa kumfunga Niger wanao.
Ndio utaifa ni muhimu lkakini huwezi kwepa uhalisia. Hata Ukinambia nibeti nitaondoa mahaba na utaifa pembeni, mkeka nitawapa Algeria na Uganda kushinda.