Nitaipata wapi furaha ya kweli?

Nitaipata wapi furaha ya kweli?

data tatizo lenu nyie walokole feki ni unafiki
mie nimeokoka tena siwezi kuwa mnafiki eti nimejificha kwenye neno la Mungu, nop
dada anguuu..!! Wewe ni mlokole jina basi...
 
Last edited by a moderator:
Soma hiyo mistari niliyokuwekea hapo juu...

Ila in short ninapata wasiwasi na namna unavyoamini katika Yesu...haijalishi umeokoka au hujaokoka

Can we put aside this kind of conversation? Nahisi kama tunachakachua thread ya watu

heee
tusidanganyane,
huwezi ukapigwa chini na mpenzi wako ukasema nina furaha ya
kweli eti kwa kuwa nimeokoka (ni mfano tu lakini)

Huna mahitaji muhimu ukawa na furaha ya kweli eti kisa nimeokoka.

Kila siku fungu la kumi huna ukawa na furaha ya kweli eti kisa nimeokoka.
 
Ok nimesoma;
so unataka kusema nifute usemi wangu?


How can that be possible?

Yohana 16:24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu

Yohana 17:13 Na sasa naja kwako; na maneno haya nayasema ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.

Warumi 14:17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

Warumi 15:13 Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

Wagalatia 5:22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili,
 
Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..

Furaha yakweli na pumziko la kweli linapatikana kwa Yesu kristo pekee wala hakunamwingine awezaye kukupa furaha. ili upate furaha hii unapaswa kwanza kutambuakila mwanadamu kwa kuzaliwa na kutenda nikiwemo na mimi, sisi ni wenye dhambi,(zbr 58.3, 51.5), Warumi 3.23, 5.12). Biblia inasema hakuna mwenye haki hatammoja hivyo sisi wote ni wenye dhambi kwa kuzaliwa na kutenda? tujiulize sotemtoto mdogo unakuta ana wivu, chuki, hasira, choyo, hucheza dansi/muziki bilakufundishwa kwann? hii yote hutokana na dhambi ya asili. Baada ya mtu kuzaliwana kupata akili ndipo anaanza kufanya dhambi zingine kama wizi, uzinzi,uasherati, utukanaji, ulevi, uchawi,uganga wa kienyeji n.k.

Lazima tujue na tukubaliane kuwa hakuna mwanadamu hata mmoja aliyewahi kuishiduniani bila kufanya dhambi isipokuwa YESU KRISTO PEKEE, ndiyo maana sehemunyingi Yesu aliwauliza watu aliowahi kuishi nao na wale aliokuwa nao je ni nanianayenishuhudia kuwa mimi ni mwenye dhambi, hakuna hata mmoja wao aliyewezakunyoosha kidole kuwa alifanya dhambi yoyote katika maisha yake.

Tukijua kweli hii tujue Yesu kristo aliteswa, kusulubiwa na kufa kwa ajiliyetu, damu yake iliyomwagika msalabani inatosha kabisa kutusafisha dhambi zetutukiamini. Cha msingi tuache kujihesabia haki kuwa sisi ni wema sana natumefanya hili na lile (kusali sana, kutoa sadaka nyingi, kujenga majengo yaibada n.k.) tukumbuke wokovu unakuja kwetu kwa neema tu yaani kwa upendeleowala si kwa matendo yetu. Wewe jiulize tunao viongozi wengi wa dini na watuwote wana dini lakini je wana uwezo wa kushinda dhambi? mbona bado tunamajambazi, wazinzi, waasherati, watukanaji na waovu wa kila aina pamoja na kuwatuna dini. katika hili tunajifunza hakuna dini yoyote hata ya kuzaliwa iliwahikumpa mtu uwezo wa kushinda dhambi isipokuwa Yesu Kristo pekee. Ndugu yangutena watu wa dini ni wabaya sana na ndio waliomkamata Yesu kristo, wakampiga,wakamtemea mate, wakamdhihaki, wakamsulubisha na kumtundika pale juu msalabani.Naamini ndugu yangu hata wewe una dini lakini jiulize mwenyewe je una uwezo wa kushindadhambi? jibu ni hapana kwa herufi kubwa

Ndugu yangu ili tupate wokovu tunapaswa kuiamini kazi aliyoifanya Yesu Kristopale juu msalabani na kuamini kuwa damu yake inatosha kutusafisha dhambi zetu.kisha tunatakiwa tutubu dhambi zetu kwa kumaanisha kuziacha ndipo tutapatawokovu au rehema(mithali 28.13). Tukishatubu dhambi zetu kwa kumaanishakuziacha tunasamehewa dhambi zetu na kuoshwa kwa damu ya Yesu kristo nakufanyika kuwa watoto wa Mungu(luka 1.77, Luka 10.19, mathayo 1.21, Yohana1.12). Tukishafanyika kuwa watoto wa Mungu tunapewa uwezo wa kushinda dhambizote ndiyo maana hata watu wanaokujua watakushangaa na kuona mbona si yulewaliyemjua na waliyeongea naye jana. Je uko tayari kuokoka? najua uko tayarikuokoka? Basi nakusihi ufuatishe sala hii kwa dhati kabisa kutoka moyoni- MunguBaba, nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi kwa kuzaliwa na kutenda, natubu dhambizangu zote kwa kumaanisha kuziacha, naomba ulifute jina langu katika kitabu chahukumu na kuliandika katika kitabu cha uzima mbinguni, nipe uwezo wa kushindadhambi na kufanyika mtoto wako, nioshe kwa damu ya Yesu kristo dhambi zanguzote, asante kwa kunisamehe na kunifanya kuwa mtoto wako katika jina la YesuKristo,Amen.

Nami ninakuombea-Mungu wangu ninakusihi na kukuomba umsamehe mtu huyu dhambizake zote za kuzaliwa na kutenda, msafishe kwa damu ya Yesu Kristo na umpeuwezo wa kushinda dhambi na kumfanya kuwa mtoto wako, ulifute jina lake katikakitabu cha hukumu na uliandike kaika kitabu cha uzima, asante kwa kumsamehe nakumpa uwezo wa kushinda dahmbi katika jina la Yesu Kristo, Amen.

Ndugu yangu hongera kwa uamuzi wako mzuri ambao hautaujutia,Hongera kwa kuwakama umeifuatisha sala hii kwa dhati kabisa kutoka moyoni tayari umeokoka nakufanyika kuwa mtoto wa Mungu, Mbinguni kuna furaha kuu kwa uamuzi wako waBusara wa kuokoka kwani umeushinda uongo wa shetani anaoutumia kuwadanganyawatu kuwa haiwezekani kuokoka duniani wakati wanaimba kila siku katika ibadazao kuwa usinipite mwokozi na hata Yesu Kristo alipoingia nyumbani kwa Zakayoakiwa duniani alimwambia zakayo leo hivi wokovu umefika nyumbani mwako (mathayo1.21, Yohana 8.44, luka 10.19). Ili uweze kukua katika wokovu na imani,ninakushauri utafute kanisa linalohubiri wokovu upate kujiunga na kusali pamojanao, watakufundisha jinsi ya kuenenda katika mapenzi ya Mungu na hatimaye uwena nafasi ya kuingia mbinguni(zaburi 119.6,9). Mungu wa Milima na Tambarareakubariki kwa uamuzi wako wa busara na kukufanikisha katika kila jambo kadriunavyoitii sauti yake

Mungu akubariki
 
du!!! zidi kubarikiwa ndg, umenifanya nijisikie mwepesi
nimefurahishwa sana kwa maneno yako


Furaha yakweli na pumziko la kweli linapatikana kwa Yesu kristo pekee wala hakunamwingine awezaye kukupa furaha. ili upate furaha hii unapaswa kwanza kutambuakila mwanadamu kwa kuzaliwa na kutenda nikiwemo na mimi, sisi ni wenye dhambi,(zbr 58.3, 51.5), Warumi 3.23, 5.12). Biblia inasema hakuna mwenye haki hatammoja hivyo sisi wote ni wenye dhambi kwa kuzaliwa na kutenda? tujiulize sotemtoto mdogo unakuta ana wivu, chuki, hasira, choyo, hucheza dansi/muziki bilakufundishwa kwann? hii yote hutokana na dhambi ya asili. Baada ya mtu kuzaliwana kupata akili ndipo anaanza kufanya dhambi zingine kama wizi, uzinzi,uasherati, utukanaji, ulevi, uchawi,uganga wa kienyeji n.k.

Lazima tujue na tukubaliane kuwa hakuna mwanadamu hata mmoja aliyewahi kuishiduniani bila kufanya dhambi isipokuwa YESU KRISTO PEKEE, ndiyo maana sehemunyingi Yesu aliwauliza watu aliowahi kuishi nao na wale aliokuwa nao je ni nanianayenishuhudia kuwa mimi ni mwenye dhambi, hakuna hata mmoja wao aliyewezakunyoosha kidole kuwa alifanya dhambi yoyote katika maisha yake.

Tukijua kweli hii tujue Yesu kristo aliteswa, kusulubiwa na kufa kwa ajiliyetu, damu yake iliyomwagika msalabani inatosha kabisa kutusafisha dhambi zetutukiamini. Cha msingi tuache kujihesabia haki kuwa sisi ni wema sana natumefanya hili na lile (kusali sana, kutoa sadaka nyingi, kujenga majengo yaibada n.k.) tukumbuke wokovu unakuja kwetu kwa neema tu yaani kwa upendeleowala si kwa matendo yetu. Wewe jiulize tunao viongozi wengi wa dini na watuwote wana dini lakini je wana uwezo wa kushinda dhambi? mbona bado tunamajambazi, wazinzi, waasherati, watukanaji na waovu wa kila aina pamoja na kuwatuna dini. katika hili tunajifunza hakuna dini yoyote hata ya kuzaliwa iliwahikumpa mtu uwezo wa kushinda dhambi isipokuwa Yesu Kristo pekee. Ndugu yangutena watu wa dini ni wabaya sana na ndio waliomkamata Yesu kristo, wakampiga,wakamtemea mate, wakamdhihaki, wakamsulubisha na kumtundika pale juu msalabani.Naamini ndugu yangu hata wewe una dini lakini jiulize mwenyewe je una uwezo wa kushindadhambi? jibu ni hapana kwa herufi kubwa

Ndugu yangu ili tupate wokovu tunapaswa kuiamini kazi aliyoifanya Yesu Kristopale juu msalabani na kuamini kuwa damu yake inatosha kutusafisha dhambi zetu.kisha tunatakiwa tutubu dhambi zetu kwa kumaanisha kuziacha ndipo tutapatawokovu au rehema(mithali 28.13). Tukishatubu dhambi zetu kwa kumaanishakuziacha tunasamehewa dhambi zetu na kuoshwa kwa damu ya Yesu kristo nakufanyika kuwa watoto wa Mungu(luka 1.77, Luka 10.19, mathayo 1.21, Yohana1.12). Tukishafanyika kuwa watoto wa Mungu tunapewa uwezo wa kushinda dhambizote ndiyo maana hata watu wanaokujua watakushangaa na kuona mbona si yulewaliyemjua na waliyeongea naye jana. Je uko tayari kuokoka? najua uko tayarikuokoka? Basi nakusihi ufuatishe sala hii kwa dhati kabisa kutoka moyoni- MunguBaba, nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi kwa kuzaliwa na kutenda, natubu dhambizangu zote kwa kumaanisha kuziacha, naomba ulifute jina langu katika kitabu chahukumu na kuliandika katika kitabu cha uzima mbinguni, nipe uwezo wa kushindadhambi na kufanyika mtoto wako, nioshe kwa damu ya Yesu kristo dhambi zanguzote, asante kwa kunisamehe na kunifanya kuwa mtoto wako katika jina la YesuKristo,Amen.

Nami ninakuombea-Mungu wangu ninakusihi na kukuomba umsamehe mtu huyu dhambizake zote za kuzaliwa na kutenda, msafishe kwa damu ya Yesu Kristo na umpeuwezo wa kushinda dhambi na kumfanya kuwa mtoto wako, ulifute jina lake katikakitabu cha hukumu na uliandike kaika kitabu cha uzima, asante kwa kumsamehe nakumpa uwezo wa kushinda dahmbi katika jina la Yesu Kristo, Amen.

Ndugu yangu hongera kwa uamuzi wako mzuri ambao hautaujutia,Hongera kwa kuwakama umeifuatisha sala hii kwa dhati kabisa kutoka moyoni tayari umeokoka nakufanyika kuwa mtoto wa Mungu, Mbinguni kuna furaha kuu kwa uamuzi wako waBusara wa kuokoka kwani umeushinda uongo wa shetani anaoutumia kuwadanganyawatu kuwa haiwezekani kuokoka duniani wakati wanaimba kila siku katika ibadazao kuwa usinipite mwokozi na hata Yesu Kristo alipoingia nyumbani kwa Zakayoakiwa duniani alimwambia zakayo leo hivi wokovu umefika nyumbani mwako (mathayo1.21, Yohana 8.44, luka 10.19). Ili uweze kukua katika wokovu na imani,ninakushauri utafute kanisa linalohubiri wokovu upate kujiunga na kusali pamojanao, watakufundisha jinsi ya kuenenda katika mapenzi ya Mungu na hatimaye uwena nafasi ya kuingia mbinguni(zaburi 119.6,9). Mungu wa Milima na Tambarareakubariki kwa uamuzi wako wa busara na kukufanikisha katika kila jambo kadriunavyoitii sauti yake

Mungu akubariki
 
Amina kubwa
Dear za asubhi hii,
Ukiniuliza ? Ntakuambia I am the happiest person in the WORLD !! Woow na kila siku kwangu ni Eidd (kama holiday) !!
Siri :- Since mimi tangu ninaamka hadi nina kuwa Kusleep si Muudhi mwenyEzzi Mungu basi nakisikia fresh and strong thn ever.
Basi nawe tumia dozi hiyo!! (Lakini tazama usiOVERDOZE au ukanywa EXPIRED dozi) U R free to ask...24/7
kila la kheri na Amani.
 
Binadamu anayeishi hawezi kuifikia furaha ya kweli kwa 100%, kama hicho ndicho unachokitaka.
Ndio maana tunafundishwa kuvumiliana, kusameheana, kuchukuliana, kupendana na kuwa na kiasi.....
Siku haziwezi kufanana katika maisha yanavyosogea pia tabia za binadamu huwezi kuzitabiri na kwakuwa hatuishi katika dunia ya upekee yaani ubinafsi, hvyo hata wewe ukiwa na hali nzuri bado una nafasi ya kupata mabadiliko au kuathirika kulingana mazingira au watu wanaokuzunguka au unaowasiliana nao kwa namna yoyote.....

Kikubwa ni kuzingatia kujielewa na kuyaelewa mazingira yote, kuwa na matarajio makubwa lkn weka kiasi cha "lolote laweza kutokea".
Na mengine mengi naweza kusema ila bado tu siwezi kukuahidi furaha kamili kwa siku zote ila inatokea kwa siku fulani fulani tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom