Nitaipata wapi furaha ya kweli?

Nitaipata wapi furaha ya kweli?

Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..
Mfalme suleiman pamoja na kumiliki wake 700 namasuria 300 bado alisema hayo yote ni ubatili na kujilisha upepo, wewe umekuwa na wanaume wangapi mpaka ukate tamaa hivyo. Pengine hata 20 hawajafika hata na hao uliowahi kuwa nao hamkupendana bali mlitamaniana tu ili kutoshelezana tamaa za mwili na baada ya kutoshelezana tamaa zenu ndipo kila mmoja anagundua mapungufu aliyonayo mwenzake na kuachana.

Furaha utaipata tu pale utakapomshirikisha Mungu wako ili akupatie pair yako ambayo Mungu aliiumba toka kuwekwa kwa misingi ya dunia. Kwa nguvu zako utaitafuta usiku na mchana ukiachiwa majeraha ya moyo na wasio chaguo lako kila siku. Ngoja niishie hapa niwape nafasi wenzangu maana kila ninapoandika naona kama mzuka wa kuandika unapanda tu.
 
the goal of life is happiness,one should not depend on happiness upon things of this world because they come and go rather happiness should be a state of inner man,Your true happiness is promoted by doing what is right! Therefore,to attain happiness,you must acguire the excellences!
 
i like u, ningeomba usiukatize huo mzuka shuka nao plzzzz

Mfalme suleiman pamoja na kumiliki wake 700 namasuria 300 bado alisema hayo yote ni ubatili na kujilisha upepo, wewe umekuwa na wanaume wangapi mpaka ukate tamaa hivyo. Pengine hata 20 hawajafika hata na hao uliowahi kuwa nao hamkupendana bali mlitamaniana tu ili kutoshelezana tamaa za mwili na baada ya kutoshelezana tamaa zenu ndipo kila mmoja anagundua mapungufu aliyonayo mwenzake na kuachana.

Furaha utaipata tu pale utakapomshirikisha Mungu wako ili akupatie pair yako ambayo Mungu aliiumba toka kuwekwa kwa misingi ya dunia. Kwa nguvu zako utaitafuta usiku na mchana ukiachiwa majeraha ya moyo na wasio chaguo lako kila siku. Ngoja niishie hapa niwape nafasi wenzangu maana kila ninapoandika naona kama mzuka wa kuandika unapanda tu.
 
Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..
ni kwa Yesu tu ndio utakapopata furaha ya kweli
 
Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..
Short answer !!
Rudi mwa mungu wako, Yeye yupo karibu sana na wewe !!!!!!! HAPPINESS utaipata....
 
Your the master of your happiness don't depend on others for it!
 
Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..

Kwa YESU tu!
 
furaha ya kweli ipo kwako mwenyewe. "The only one who can give you a real happness is yourself" by me.
 
You cannot rely on another person to make you happy! that way Jesus will come back and you will not have found happiness! It all begins with you sweetie. Badili Msimamo!!
 
Kuna vitu vitatu ambavyo ni nguzo katika kuyapa maisha maana ambavyo ni AMANI, UPENDO NA FURAHA. Sifa moja ya hivi vitu ni kwamba vinatoka ndani ya mtu na siyo inje! ndiyo maana unaweza fanya mengi ya nje ili kuvipata lakini ikashindikana. Hivi vitatu vinatoka na kustawishwa na Muumba mwenyewe!... "ufalme wa Mungu siyo kula na Kunywa, bali ni UPENDO, AMANI NA FURAHA...".
 
Bila shaka unatambua kuwa ulivyofurahi siku ulipoolewa ni tofauti na unavyofurahi leo, ingawa ndoa uliyoitafuta ni ile ile na mwanaume uliyenaye ni yule yule, tena inawezekana mlipooana mlikuwa na maisha ya chini lakini leo mmefanikiwa isipokuwa furaha imepungua.

Oooh sasa nimekupata, hata hao uliowajaribu nje pia....hawawezi kazi. Unakula nini wewe......eti?
 
Mkimbilie Yesu yeye ni rafiki mwema...
 
Binafsi nimetembea bara na visiwani nikitafuta furaha ya kwlei lakini bado cjafanikiwa, nimejaribu kuwa na marafiki wengi ili nipate furaha ya kwlei lkn wapi nimeambulia kusemwa, nimejaribu kujisogeza kwa ndugu zangu karibu ili nipate furaha ya kweli lkn bado cjaipata furaha, NIMEBADILI WANAUME KILA KUKICHA KUSUDI NIPATE FURAHA/UPENDO WA KWELI huku ndo kwanza NIMEAMBULIA KILIO, wana JF nisaidieni niwapi kunapatikana furaha/upendo wa kwlei kusudi niende nikajipatie, mwenzenu nimezunguruka bila mafanikio..
Furaha ya kweli ipo pale ulipoiweka thamani yako... KIimsingi thamani yako ipo ndani yako, ipo kwenye utu wako, ipo kwenye roho na moyo wako... Lakini kwako thamani yako umewakabidhi ndugu zako, rafiki zako, na wanaokugegeda. Sasa hao siku wakikuboa, wanaharibu thamani uliyowakabidhi na mwisho kukuumiza wewe.... THAMANI YAKO IPO NDANI YAKO, AND HENCE FURAHA YAKO..

 
Furaha ya kweli?
.......... Hivi ikoje vile?
.....Sijui,
....................Umpate akupendaye? sijui kama ndiyo furaha inakamilika.
........uwe na pesa ya kukutosha kutumia walau kwa mahitaji muhimu?? sijui kama ndiyo furaha inakamilika.
.....kurelax????

Furaha yangu kupata anayenipenda / ninayempenda kwa moyo ..........
............. ........................ ....................................
 
nimeokoka miaka mingi iliyopita,
lakini pia kuna wakati nakosa furaha ya kweli

How can that be possible?

Yohana 16:24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu

Yohana 17:13 Na sasa naja kwako; na maneno haya nayasema ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.

Warumi 14:17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

Warumi 15:13 Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

Wagalatia 5:22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili,
 
heee
tusidanganyane,
huwezi ukapigwa chini na mpenzi wako ukasema nina furaha ya
kweli eti kwa kuwa nimeokoka (ni mfano tu lakini)

Huna mahitaji muhimu ukawa na furaha ya kweli eti kisa nimeokoka.

Kila siku fungu la kumi huna ukawa na furaha ya kweli eti kisa nimeokoka.

How can that be possible?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom