Nitahamia Zambia na Sio Burundi

Angekua na "uelewa" japo Mdogo angeshauri tuhamie Zambia na sio Burundi. Zambia Raisi ni Mtumishi wa Wananchi, ni mnyenyekevu, amezuia matumizi ya magari ya kifahari kwa Mawaziri (Wakati yeye ana latest Toyota v8), Rais wa Zambia amegoma Katu kupongezwa na kuwakumbusha Watu wake kuwa anayoyafanya ni Wajibu wake na sio fadhila kama Mwigulu na Wenzie akina Nape wanavyotuaminisha.

Leo hii nchi nzima imejaa mabango ya kumsifia na kumpongeza Mtu mmoja, as if halipwi, as if ni msamaria mwema tu, tumejengwa kuaminishwa hivyo na wapuuzi Wachache wanaamini hivyo.

Mimi nitaenda Zambia ambako Pesa ya nchi Yao inazidi kuwa stable dhidi ya US Dollar, nchi ambayo Kuna kuaminiana na Rais hahitaji ulinzi wa mabilioni kujilinda......
Sipati picha huyo HH angefanya Collabo na JPM Afrika kungalieleweka tu.
 
Waziri kusema wasiopenda tozo wahamie Buryndi anaweza kutengeneza mgogoro wa kidiplomasia na jirani zetu Burundi bila sababu ya msingi.

Kauli hii imemuonesha Waziri kama mtu varuvaru asiye na umakini kwenye kauli na matendo yake.
Nitashangaa kama Burundi wataendelea kukaa kimya
 
Nitashangaa kama Burundi wataendelea kukaa kimya
Naam, tena naona kasema mara ya kwanza, kaona haitoshi, karudia tena.

Yani jambo rahisi kama hili kwamba hutakiwi kuanzisha maneno ambayo yanaweza kuleta mizozo ya kidiplomasia isiyo ya lazima, Waziri wa Fedha mzima kashindwa kulijua, huko kwenye mambo ya umakini zaidi wa international economic espionage huyu bwege ataweza ku navigate?
 
Angekua na "uelewa" japo Mdogo angeshauri tuhamie Zambia na sio Burundi. Zambia Raisi ni Mtumishi wa Wananchi, ni mnyenyekevu, amezuia matumizi ya magari ya kifahari kwa Mawaziri (Wakati yeye ana latest Toyota v8), Rais wa Zambia amegoma Katu kupongezwa na kuwakumbusha Watu wake kuwa anayoyafanya ni Wajibu wake na sio fadhila kama Mwigulu na Wenzie akina Nape wanavyotuaminisha.

Leo hii nchi nzima imejaa mabango ya kumsifia na kumpongeza Mtu mmoja, as if halipwi, as if ni msamaria mwema tu, tumejengwa kuaminishwa hivyo na wapuuzi Wachache wanaamini hivyo.

Mimi nitaenda Zambia ambako Pesa ya nchi Yao inazidi kuwa stable dhidi ya US Dollar, nchi ambayo Kuna kuaminiana na Rais hahitaji ulinzi wa mabilioni kujilinda......
Nenda Zimbabwe msalimie Balozi Sirro
 
Naam, tena naona kasema mara ya kwanza, kaona haitoshi, karudia tena.

Yani jambo rahisi kama hili kwamba hutakiwi kuanzisha maneno ambayo yanaweza kuleta mizozo ya kidiplomasia isiyo ya lazima, Waziri wa Fedha mzima kashindwa kulijua, huko kwenye mambo ya umakini zaidi wa international economic espionage huyu bwege ataweza ku navigate?
He is very comfortable, enzi Watu wanaokotwa kwenye viroba Kuna jamaa NDIO alikua Waziri wa Wizara Fulani
 
Bongo tuna utamaduni wa kusifia sifia tu unakuta Mtu ana mshukuru Rais wa awamu ya ....... kwa mafanikio yake yeye binafsi yaani sijui ni ugonjwa au kuojiamini.

Basi na mimi nimshukuru mama kwa kukomenti hapa ameupiga mwingi
Hali hiyo Kwa taifa letu inaelekea hata viongozi kuona ni wakamilifu waliotukuka Ilhali wanaowasifia wanawaelekeza kwenye makosa ya kuwaweka mbali na Wananchi ama Kwa sababu zao za kisiasa au za makundi yao,ndio maana ipo haja ya katiba mpya inayowajibisha wenye mamlaka mbalimbali hata na wanaojaribu kupata maslahi yao kupitia wanaowasifia🤔
 
Angekua na "uelewa" japo Mdogo angeshauri tuhamie Zambia na sio Burundi. Zambia Raisi ni Mtumishi wa Wananchi, ni mnyenyekevu, amezuia matumizi ya magari ya kifahari kwa Mawaziri (Wakati yeye ana latest Toyota v8), Rais wa Zambia amegoma Katu kupongezwa na kuwakumbusha Watu wake kuwa anayoyafanya ni Wajibu wake na sio fadhila kama Mwigulu na Wenzie akina Nape wanavyotuaminisha.

Leo hii nchi nzima imejaa mabango ya kumsifia na kumpongeza Mtu mmoja, as if halipwi, as if ni msamaria mwema tu, tumejengwa kuaminishwa hivyo na wapuuzi Wachache wanaamini hivyo.

Mimi nitaenda Zambia ambako Pesa ya nchi Yao inazidi kuwa stable dhidi ya US Dollar, nchi ambayo Kuna kuaminiana na Rais hahitaji ulinzi wa mabilioni kujilinda......
Mimi nahamia zanzibar zanzibar kuchele
 
Back
Top Bottom