Nitafungua kesi dhidi ya Jeshi la Polisi

Tabia za kuwatesa watu kimabavu zilishapitwa na wakati
 
Kutekwa haiko kikatiba wala kisheria, huwezi kwenda mahakamani kuomba kitu ambacho hakipo. Labda uwende kuomba tafsiri ya nini kifuatwe pale polisi wanapokiuka PGO yao, je ni watawajibika binafsi, IGP au waziri wa mambo ya ndani ? Mahakama itoe muongozo wa nini cha kufanya na kufuata...
 
Jeshi letu wewe na nani? Weledi upi? Kufukuza watu mahakamani ni weledi? Pongezi kwa IGP kwa lipi? Kuwabambikia kesi wapinzani ni kufanya kazi kwa weledi? Kingai mahita kuwatesa watu kuwafunga pingu mikono miguu saa 24 ni kufanya kazi kwa weledi?
kinacho kusumbua wewe ni ubinafsi.
unataka sheria ifanye kazi na itakelezwe kwa watu wengine ila hutaki kuona watu unao wapenda wakichukuliwa hatua za kisheria!!!
Maana ya neno "sheria ni Msumeno" maana yake msumeno kazi yake ni kukata mbele na nyuma bila kujali wewe ni nani na ni wachama gani au rangi gani.
kwa zama hizi ukikamatwa na Jeshi la Polisi basi ufahamu wewe ni mkosaji na sio vinginevyo.
nimeona Jeshi la Polisi sasa linafanya kazi zake kwa weledi wa juu sana ukilinganisha na huko tulipo toka.

Adamoo yuko mahakamani ni mtuhumiwa, kama kweli aliteswa basi ushahidi upo utaamua, sio swala la kukubali kila POROJO.
hata siku mmoja hakuna muhalifu/mtuhumiwa aliye wahi kukiri kosa hata kama amekamatwa na ushahidi papo hapo, mara zote huwa wanakataaa lkn badae ushahidi ukitoka wana pigwa mvuwa!!!,
sasa utasema hapo alibambikiwa?!
nawasihi wafuasi wa Mbowe acheni kupaparika, acheni kulazimasha ukweli uwe uongo, acheni kuleta propaganda za kisiasa kwenye mambo ya kisheria.
 
Seems unajiona uko safe sana, hiyo michezo michafu ya polisi na CCM kuna siku utaingia anga zao au hata watoto wako then ndio utajua, na hata ndugu zako au watoto zako pia wanaweza kuwa chadema kesho, wakitekwa au kubambikiwa kesi na kupotezwa sijui utaongea nini? ushahidi upo watu wengi sana wamepotea na mimi personally nawajua wawili tangu 2019 hawajulikani walipo, wakati mwingine nashindwa kuamini kuna watu wapumbavu kama wewe
 
Propaganda unazo wewe hata porojo unazo za kutosha kitendo cha kufagilia ujinga wa Polisiccm ni kitendo haramu cha kishetani, wewe ni mtetezi wa CCM mitandaoni lakini ni mtetezi uliye na rombo mbaya msaka uteuzi pasipo kujali haki za binadamu, ebu tueleze alipo mwenyekiti wa baraza la wazee chadema? ebu tueleze alipo Lt urio na Moses lijenje wa jwtz? wewe si mtetezi wa uonevu wa Polisiccm ebu tueleze hayo ?
 
Jeshi la wakabajii. Siku hizi police wanakaba si kukamata
 
Mfumo wa kisheria wa Tz upo chini ya manyani kwenye sura za binadamu! Yani jaji anajua kwamba Mahita Omary kaua komando na kingai katesa makomando wa Jw lkn hatoi tamko la mahakama kuwanyonga hawa mbwa wafu kwa Jambo Hilo. Lkn naamini mwanzo jeshi letu kuichukua nchi hii na kif.i.la policcm umewadia
 
Haya mambo ya kutishiatishia msituletee humu. Fungus kesi ndio utwambie!
 
ccm watakuita mchochezi.
hili bara ndo maana sometimes linaitwa bara la giza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…