Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Ni kweli dada ni bola hubaki peke yako hakili hitulie tuli...

Hakili yako hikitulia,jitahidi kuwa na huhandishi mzuri. Tuhandikie kwa kiswaili

Siku hizi hakuna kifimbo cheza??
Hakuna utafiti. Naona watu hapa kama vile wanafanya mzaha fulani ambao siuelewi.

Kwani watu mna shida gani ya uandishi wa "hakili" badala ya "akili"..."hitulie" badala ya "itulie" hii "H" inatokea wapi??? Utakuta jitu linaandika "hupo" badala ya "upo"...naona kiswahili kinaharibiwa kwa makusudi, mwandishi wa uzi huu akiwemo pia.
Wadau wameamua kufanya mzaha wa herufi 'h' na 'a'

Punnzika kwanza adi hakili hitulie mama!

Hata Hukae Peke hako huo sio huluhisho

bola amekuhacha maana naona hata hakili yako hahijielewi kaa utulihe kwanza uangalihe ni wapi unakoseha.......tuliza hakili mama
Huu mzaha wote wa herufi 'h' na 'a' chanzo chake nini?
 
Last edited by a moderator:
The Boss, ivi mkuu muda wote unakuwa online? Maana kila uzi ukipostiwa unakuwa wa kwanza kuchangia, hiyo tisa kumi ni comment yako ni moja tu.
hata ww ni jibu tosha kuwa unakuwa online maana unakuwa interested na jibu la The Boss
 
Chanzo ni mada hii hii kabla mods hawajahariri habari iliyowekwa awali...
Asante watu8 kunielewesha maana nilishangaa kuona kila mtu anakazana kuondoa herufi 'a' na kuweka 'h' mwanzoni mwa neno.
 
Last edited by a moderator:
Hunatakiwa huhendelehe kubakiha peke yako hadi hakili yako hitulihe ndiho hutafute mwingine.

Kweli huyo bwana siho mzuri mahana hamekuvuruga hadi kichwani,nakushahuri humuhache hahu humuroge.

!
!
Hahahaha......kweli ni hatari sana mahana umemshahuri vizuri sana haisee.
 
shosti bwana/mume wako kama hakutaki we tuliha tu akili itakaha sawa na kutuliha
 
Back
Top Bottom