Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,952
- 10,593
baki njia kuu
amekwambia alikuwa na mchepuko
baki njia kuu
Hakili yako hikitulia,jitahidi kuwa na huhandishi mzuri. Tuhandikie kwa kiswaili
Ni kweli dada ni bola hubaki peke yako hakili hitulie tuli...
Kwani watu mna shida gani ya uandishi wa "hakili" badala ya "akili"..."hitulie" badala ya "itulie" hii "H" inatokea wapi??? Utakuta jitu linaandika "hupo" badala ya "upo"...naona kiswahili kinaharibiwa kwa makusudi, mwandishi wa uzi huu akiwemo pia.
Wadahu, nilileta jambo apa kuhusu bwana wangu kunisaliti. Amesema anitaki. Bola nibaki hadi hakili hitulihe. Wanaume mh!
Siku hizi hakuna kifimbo cheza??
interesting...
kwanza kabisa mimi sio mdahu... pili sijaelewa unataka hushauri au hunatupa tahalifa tatu na mwisho ID yako himenifanya nikose hamani.. ni hayo tu da mchawi
bola amekuhacha maana naona hata hakili yako hahijielewi kaa utulihe kwanza uangalihe ni wapi unakoseha.......tuliza hakili mama