Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Pole sana,"Kukataliwa kubaya "kubabaika lazima. Hata hivyo mapenzi ni kama uzazi" mkiwa 'LEBA' ", mwatukana na kulaani kutorudi tena Lakini ukikaa kidogo unasahau. Binadamu sie tumeumbiwa kusaha. Akili ikitulia utampata mwingine na utadeka na kuiona dunia yote yako.
 
da mchawi si umloge huyo mume wko akurudie kama bado unampenda.. Afu inaonekana muda mwingi ulikuwa kwenye ulozi so kisomo kimekaa mgu pande kidogo

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
​"Hakili" na "Hitulihe" ndiyo nini!? Au ni misamiati mipya ya MUJINI!?
 
mwanamme gani atakuwa na wewe ili hali hata kuandika hujui!
 
Wadahu, nilileta jambo apa kuhusu bwana wangu kunisaliti. Amesema anitaki. Bola nibaki hadi hakili hitulihe. Wanaume mh!

Wadau na sio wadahu.
Hapa na sio apa.
Hanitaki na sio anitaki.
Bora na sio bola.
Akili na sio hakili.
Itulie na sio hitulihe.
Pole kwa mkasa uliokukumba mrudie MUNGU akupe hekima ya kujua nini cha kufanya.Karibu kwa YESU abadilishe maisha yako.
 
Huyu mie bado na wasi wasi naye anafanya makusudi...hii ni thread ya pili naona anarudia makosa yale yale....
 
Wadahu, nilileta jambo apa kuhusu bwana wangu kunisaliti. Amesema anitaki. Bola nibaki hadi hakili hitulihe. Wanaume mh!

Wewe si ulisema ni mzuri kuliko rafiki yako?

Nikakuuliza wewe ni mzuri kwa vigezo vya nani? U see now?

Sifa ya kwanza ya mwanamke ni upstairs.
 
Back
Top Bottom