Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Wadau,nilileta habari kuhusu Mume wangu kunisaliti. Amesema hanitaki, bora nibaki hadi akili itulie, wanaume hawafai.

Sio wanaume,bali mume wako ndo hafai.
Jichunguze;Kwa tamko lako tu, ni dhahiri wewe ni "La problematique''.
 
Kwani watu mna shida gani ya uandishi wa "hakili" badala ya "akili"..."hitulie" badala ya "itulie" hii "H" inatokea wapi??? Utakuta jitu linaandika "hupo" badala ya "upo"...naona kiswahili kinaharibiwa kwa makusudi, mwandishi wa uzi huu akiwemo pia.

Mwenzio amevurugwa msamehe bure. Lakini tumepata somo asante!
 
Hiyo user name ndio imemfukuza mme wako. Nawe mwanamke upo comfortable na hiyo username kama sio uchawi wenyewe ni nini.
 
Tusihobaha tika kisomo tunatabu sana. Siku mmeanza kuhona ilimu Ndio mapenzi? Kisomo kina ingiaje mapenvzi?apenzi ayachaguhi ilimu.chawi ni la Uko.

HAhahah! mwajuma are you serious mbn kama unafanya masikhara
 
nAwashukyklu mlio nititia maana nimipata huhujumbe wa kunitia sana miyo. Kweli nafalijika mi sana. arafu samani mi sijasoma sana kisomo ila nilisoma cho madrasa ila mapenzi achagui ilimu ya mtu kila mtu tu.
 
nAwashukyklu mlio nititia maana nimipata huhujumbe wa kunitia sana miyo. Kweli nafalijika mi sana. arafu samani mi sijasoma sana kisomo ila nilisoma cho madrasa ila mapenzi achagui ilimu ya mtu kila mtu tu.


Kwendaa kule numekustukia unafanya kusudi mwehu we😡😡😡
 
Back
Top Bottom