Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Nitabaki peke yangu hadi akili itulie

Tusihobaha tika kisomo tunatabu sana. Siku mmeanza kuhona ilimu Ndio mapenzi? Kisomo kina ingiaje mapenvzi?apenzi ayachaguhi ilimu.chawi ni la Uko.

Unalilia mapenzi hata kuandika hujui. Mwanaume gani anataka kuweka kanjanja ndani asiejua kusoma wala kuandika. Hebu kajifunze kuandika kwanza. Sijui hata JF uliingiaje!

Inabidi JF ianze kuweka kigezo cha mtu kuandika walau imla kabla hajajiunga ili kupunguza watu kama wewe jukwaani.
 
Wacha kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe,
 

Attachments

  • 1421207787990.jpg
    1421207787990.jpg
    23.5 KB · Views: 154
Kwakweli wewe bora ubaki phekhe KhaKho thu.... mapenzi sio chakula.
 
Hunatakiwa huhendelehe kubakiha peke yako hadi hakili yako hitulihe ndiho hutafute mwingine.

Kweli huyo bwana siho mzuri mahana hamekuvuruga hadi kichwani,nakushahuri humuhache hahu humuroge.
 
Mmmh Jf kuna rahaaaaa,hadi mchawi anaumia...pia wanaomsahihisha Kiswahili alichoandika nao wanakosea pia
Naipenda Jf Jamani
 
Mmmmhh Mwajuma Mchawi hebu rekebisha kwanza hilo jina. Ndo maana hakutaki.
 
Last edited by a moderator:
Pole Mwajuma
Kama una watoto fikiria namna ya kulea watoto wako vizuri. Kama huna kazana kwenye shughuli zako za kiuchumi na kama utapenda rudi darasani kaongeze kitu.
 
Tusihobaha tika kisomo tunatabu sana. Siku mmeanza kuhona ilimu Ndio mapenzi? Kisomo kina ingiaje mapenvzi?apenzi ayachaguhi ilimu.chawi ni la Uko.
mwenzio anakata kiuno kuliko wewe ndo maana...wewe unaleta uchawi tu!!
 
Naam pole sana sana zile picha nilizipata ila siwezi kuziweka hapa, muache tulia kwanza
 
Back
Top Bottom