Somea chochote bob, just keep in mind unakuja kutatua changamoto za watu na ndio zitakazokulipa. You can take anything you want ila angalia soko la nchini yetu limelala wapi? my recommendation kwa hapa nchini ingia kwenye masuala ya Afya, Kilimo, Technology, Transportation, Energy(Natural Gas), Agribusiness. Angalia unachosomea kinaweza impact vipi sekta kama izo na how valuable can you become by solving out problems via education.
Again, pick anything based on our problems hapa nchini especially vitu vilivyopo kwenye Dira. Fursa ndio matatizo yetu tunayoyaona.