Afya zote zinalipa asikwambie mtu!Ivi dentol bado inalipa kweli. Kuna dogo angu anamalizia diploma yake
kwa maswali unayouliza, napata wasiwasi kuwa hayo matokeo ni yako.Sindano ya usingizi ndio kozi gani?
DahDiploma ya Malware Reverse Engineering japo ujipange sana na Assembly na C kavu kavu
Kama hamna asome Diploma ya Computer security then hiyo iwe major area kwake kama ataweza lakini. Maaa watu wanakimbia sana ma pointer double pointer triple pointer kwenye C pamoja na assemble yenyewe , wanaona kama mapepo 😅Dah
Wanafundisha wapi bongo?
Clinical Medicine asiguse!!Radiology, Dental, Clinical Medicine.
Afya ipi mkuu!?Afya zote zinalipa asikwambie mtu!
Duuuh kumbee?Clinical Medicine asiguse!!
All in all kama anataka kufa maskini soma Afya upo kwenye 60% za kufa Maskini
Diploma in animal health. Ulitaka usharudi nichekiForm four division 1 ya 17
Physics C
Chemistry B
Biology A
Mathematics C
Geography B
Nimesoma political science ila uchawa nimekataa
Pesa ni ya kawaida ya kula tu unafanya kazi katika Pressure na wakati mwingine mazingira magumu kidogo ukiwa Tamisemi ndio balaa una maboss hadi Diwani wa viti maalum ambae hata kusoma vizuri ni chenga allowances unaweza kaa miezi 7 unakuja kupata overtime 120k wakat uliomba 6, zinalipwa 2 unaambiwa Halmashauri haina hela!!Duuuh kumbee?