Nisome Diploma ipi Kati ya hizi

Nisome Diploma ipi Kati ya hizi

kombaME,
Nami naomba msaada kidogo hivi kama mtu ana diploma ya laboratory anaweza kufungua maabara binafsi na yeye mwenyewe akawa ndo msimamiz/incharge?? Au incharge hadi awe na degree??
 
Rajabu Visenti,
Nakusihi usijaribu kusoma hizo diploma 2 za mwisho (uhasibu na BUSINESS ADMINI),
NAONA HATA WADAU WENGI WAMEJIELEKEZA KWENYE DIPLOMA NYINGINE HIZO ZA SCIENCE
 
Nakusihi usijaribu kusoma hizo diploma 2 za mwisho (uhasibu na BUSINESS ADMINI),
NAONA HATA WADAU WENGI WAMEJIELEKEZA KWENYE DIPLOMA NYINGINE HIZO ZA SCIENCE
Na kuna kozi nyingine sio maarifu sana ila ni nzuri, mfano mzuri ni Geomatics.

Mkuu Saveya wakati ukifika ntakutafuta PM.

SUKAH
 
kasome medical lab

halafu baada ya miaka mitatu uje unishukuru hpa
 
Mkuu soma electrical and biomedical engineering hutojuta. kwanza unaujua umeme Na hapo hapo masala ya biomedical unayajua soko la ajira Ni kubwa kwa maswala ya umeme
 
Ushauri kuntu, hata huko majuu ukiwa na cheti kizuri ni rahisi kupata kazi. Bahati mbaya kama ulivyosema bado vijana wengi halija waingia hilo.

Na sasa tuna degree pia na huko mbeleni kuna masomo ya specialisation ambayo watu wa nursing na medicine hawapishani kama Public Health na pia Epidemiology.
Cheti kizuri kwa huko majuu unapopazungumzia bila shaka ni degree
. At least kuanzia gpa ya ngapi mkuu!!

Vipi wewe ni mmoja wapo wa wataalam au graduate wa hiyo course
.

Naomba unipe dondoo kidogo mkuu naipenda sana hii course yani ipo damuni aisee japo nasikia ina changamoto sana..
 
Cheti kizuri kwa huko majuu unapopazungumzia bila shaka ni degree
. At least kuanzia gpa ya ngapi mkuu!!

Vipi wewe ni mmoja wapo wa wataalam au graduate wa hiyo course
.

Naomba unipe dondoo kidogo mkuu naipenda sana hii course yani ipo damuni aisee japo nasikia ina changamoto sana..
Mimi si mmoja wao bali nimefahamu watu wanaofanya nursing huko majuu (uk na usa). Na kuna mwaka nilisoma tangazo la uk wakitafuta registered nurses.
 
Mimi si mmoja wao bali nimefahamu watu wanaofanya nursing huko majuu (uk na usa). Na kuna mwaka nilisoma tangazo la uk wakitafuta registered nurses.
Hivi ni ipi maana ya N.O,E.N na R.N kwenye hii criteria ya Nursing..

Na huwa wanapatikanaje au upimwaji wao ukoje na majukumu yao ni yapi kama unaufahamu??
 
Hivi ni ipi maana ya N.O,E.N na R.N kwenye hii criteria ya Nursing..

Na huwa wanapatikanaje au upimwaji wao ukoje na majukumu yao ni yapi kama unaufahamu??
Mkuu kama nilivyosema siko kwenye fani hiyo hivyo itabidi utafute maana za hizo abbreviations. Lakini RN ni Registered Nurse. Google utapata taarifa nyingi tu.
Nime Google: N.O,E.N and R.N in nursing;

Nikapata :What is the difference between RN and EN?

The scope of practice for an Enrolled nurse (EN) and Registered nurse (RN) are quitedifferent. The main difference is the qualification including education preparation and experience. ENs complete a Diploma of Nursing, which is a two-year course, and RNscomplete a Bachelor of Nursing, which is a three year course.Oct 29, 2019
 
Mkuu kama nilivyosema siko kwenye fani hiyo hivyo itabidi utafute maana za hizo abbreviations. Lakini RN ni Registered Nurse. Google utapata taarifa nyingi tu.
Nime Google: N.O,E.N and R.N in nursing;

Nikapata :What is the difference between RN and EN?

The scope of practice for an Enrolled nurse (EN) and Registered nurse (RN) are quitedifferent. The main difference is the qualification including education preparation and experience. ENs complete a Diploma of Nursing, which is a two-year course, and RNscomplete a Bachelor of Nursing, which is a three year course.Oct 29, 2019
asante mkuu ngoja nicheki kwa msaada zaidi
 
Soma hiyo ya tatu kutoka mwisho inalipa na itaendelea kulipa. Ukifanikiwa ukapiga mpaka degree utakuwa umeula. Pia ipo flexible unaweza kujiajiri au ukaajiriwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kombaME,
Nami naomba msaada kidogo hivi kama mtu ana diploma ya laboratory anaweza kufungua maabara binafsi na yeye mwenyewe akawa ndo msimamiz/incharge?? Au incharge hadi awe na degree??
Ndio, unaweza kufungua maabara yako ya private na cheti chako pamoja na leseni vikawepo maana diploma ndio ngazi ya mwanzo kusimamia lab, kupanda juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu naombeni mawazo yenu, nisome diploma ipi Kati ya hizi. Nina vigezo vyote vya kujiunga na hizi kozi.

Mimi nataka kozi itakayo nipa fursa ya kujiajili na kuajiliwa

Diploma in pharmaceutical sciences

Diploma in electrical and biomedical engineering

Diploma in clinical medicine

Diploma in medical laboratory

Diploma in mechanical engineering

Diploma in electrical and electronic engineering

Diploma in Accounting and Finance

Diploma in Business Administration
Kasome BEE Hutojutia
 
Back
Top Bottom