Nisome Diploma ipi Kati ya hizi

Nisome Diploma ipi Kati ya hizi

Rajabu Visenti,
Kama wewe kambi popote basi soma yoyote tu....yaani funga macho dondosha kidole kitakapotua itakayokubali ni iyoiyo....unapoulizwa unapenda kuja kuwa nani ilo ni swali la msingi sana na haitakiwi ulete ujanja ujanja katika kulijibu
 
Mechanical kiboko utapata kazi fasta.
 
Kama wewe kambi popote basi soma yoyote tu....yaani funga macho dondosha kidole kitakapotua itakayokubali ni iyoiyo....unapoulizwa unapenda kuja kuwa nani ilo ni swali la msingi sana na haitakiwi ulete ujanja ujanja katika kulijibu
Kiukweli ndugu moyo wangu unajskia furaha kuwa engineer
 
Mechanical Engineering na Electrical Engineering huwez kulala njaa hata vyuma vikaze vipi.
Mechanical eng. Ndio fani yangu kazi nazikimbia mwenyewe kwa kufuata maslah makubwa.
Kwa hiyo mkuu kati ya mechanical engineering na electrical engineering ipi mwake zaidi ww nichane live tu
 
Kwa hiyo mkuu kati ya mechanical engineering na electrical engineering ipi mwake zaidi ww nichane live tu
Kwa uzoefu wangu Mimi watu wa mechanical na electrical huwa wanafanya kazi sehem moja wanashirikiana kwenye machines Maintenance na idadi ya ajira zao pia zinafanana coz mtu akianzisha kiwanda ataajiri watu wa mechanical na Electrical pia.

Ila uzur wa Mechanical ni kozi ngumu na ina masomo mengi kwa hyo ukiipata diploma yake huko mbeleni ni rahisi kubadilika kusoma degree yoyote ya Engineering/science kasoro udaktari.
 
kombaME, Mkuu hata mimi nimeandika kwa sababu nami nipo kada hii,,,,soma vizuri kuhusu point zangu nimesema kama ana nia ya Kwenda MD ni kozi nzuti maana atabaki kwa muda kwa sababu kwa sasa CO sio dili tena ni wengi mno kitaa ndugu na masilahi madogo.

Kuhusu Lab nakuunga mkono, Pharmacy nimesema ni nzuri kwa kujiajiri sio kuajiriwa maana haina dili serikalini au hata dispensary za private

Nursing nakuunga mkono iko poa japo malipo nayo kwa zahanat za kitaa yako chini.

Mtoa uzi angalia kozi hizi pia nzuri sana Physiotherapy, Radiology zipo kwenye maket na uzuri utafanya kazi kwenye hospital za wilaya na sio vijijini pia mko wachache sana.
 
Nenda kasome ukibahatika kupata kazi kama TANROAD na mashirika mengine ya serikali umeula mkuu hata Mwenye Diploma ya kozi yoyote ya afya hatakaupata kwa mshahara
Kiukweli ndugu moyo wangu unajskia furaha kuwa engineer
 
kombaME,
na vip kuhusu course hz DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY,PHARMACY NA CLINICAL MEDICINE, ipi iko poa kwa issue za ajira na kupata pesa za chapuchapu.
 
Rajabu Visenti,
Omba Pharmaceutical sciences(ukihitimu unaweza kujiajiri kwa kutoa huduma ya duka la dawa lakwako mwenyewe).

Medical laboratory nayo usipoajiriwa unaweza anzisha private lab yakwako ya kufanyia vipimo japo ukiwa mzuri hutahangaika sana ajira mana vituo vya afya dispensary za private na government wanahitaji sana hii kada.

Electrical engineering nayo inafaa kujiajiri na kufanya kazi za umeme wa majumbani na vifaa vya umeme kama majiko,pasi,ovena,mafriji n.k)

Hiyo ya biomedical engineering mara nyingi ajira zake ni serikalini ni ngumu kujiajiri kwasababu inahusiana na ukarabati wa vifaa tiba kama xray machine,microscope zinapokuwa na hitilafu lkn kama unavyojua hizi mashine haziharibiki kiuwepesi kama tv au simu kusema utapata wateja wengi. Hiyo ya mechanical engineering nayo si rafiki kwa kujiajiri.
 
Rajabu Visenti,
Omba Pharmaceutical sciences(ukihitimu unaweza kujiajiri kwa kutoa huduma ya duka la dawa lakwako mwenyewe).

Medical laboratory nayo usipoajiriwa unaweza anzisha private lab yakwako ya kufanyia vipimo japo ukiwa mzuri hutahangaika sana ajira mana vituo vya afya dispensary za private na government wanahitaji sana hii kada.

Electrical engineering nayo inafaa kujiajiri na kufanya kazi za umeme wa majumbani na vifaa vya umeme kama majiko,pasi,ovena,mafriji n.k)

Hiyo ya biomedical engineering mara nyingi ajira zake ni serikalini ni ngumu kujiajiri kwasababu inahusiana na ukarabati wa vifaa tiba kama xray machine,microscope zinapokuwa na hitilafu lkn kama unavyojua hizi mashine haziharibiki kiuwepesi kama tv au simu kusema utapata wateja wengi. Hiyo ya mechanical engineering nayo si rafiki kwa kujiajiri.
 
feyzal, Nimekuelewa, hata MD Kwasasa ni wengi mno, tofauti na enzi zetu. Huko mbeleni MD pia hawataajirika, kwanza ni wengi, pili wanahitaji hela nyingi.
 
Back
Top Bottom