GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,570
- 108,912
Wana Simba SC tuna cha Kujifunza kutoka kwa Wenzetu wa Yanga SC hasa kwa Kukataa 'Kupelekeshwa' kama 'Mazuzu' fulani hivi na ama TFF au Serikali.
Mwanaume wa Shoka na Unayejiamini (hata kama ni Masikini) unatakiwa uwe na Msimamo 'Thabiti' kama waliounyesha Yanga SC Jana.
Yanga SC ni Watani zangu wakubwa sana na hakuna asiyejua jinsi GENTAMYCINE ambavyo huwa nawananga (nawasema) hapa JamiiForums mara kwa mara kwa 'Mapungufu' yao lakini kwa walichokifanya Jana nawaamkia 'Shikamooni' Yanga SC na Wanayanga wote popote pale mlipo.
Yaani haiwezekani umeshaagana na Mwanamke kuwa utamkanyaga (utamngono) Saa 11 na tayari hata 'Mkuyenge' nao umeuandaa ( umeunoa ) vilivyo ili kukutana na 'Mbunye' ghafla muda unabadilika na kuahidiwa baadae tena. Kiukweli inaboa, inakera na Kupandisha sana 'Hasira' hasa pale ukiwa na 'Nyege' za Pipa zima la Konoike au Strabag.
Sasa TFF na Serikali vitaheshimu Sheria, Kanuni na Utaratibu. Na pia TFF itajifunza kuacha kuwa sehemu ya Siasa za Tanzania hasa kwa 'Kujipendekeza' kwa Serikali ya Rais Mheshimiwa Mama Samia na Chama chake Tawala cha CCM.
Nitashangaa Watu wa Simba SC wakiilaumu Yanga SC na 'Kimchezo' kabisa wasipoipongeza kwa Msimamo wao ule 'thabiti' ambao ninauita ni wa 'Kiume' zaidi.
Waziri Bashungwa na Rais wa TFF Karia mnatarajia 'Kujiuzuru' Saa ngapi au lini kwa 'Upuuzi' wenu usiovumilika mlioufanya Jana na ulioacha 'Hasira' Kali Mioyoni mwa Wapenda Michezo wote nchini Tanzania GENTAMYCINE nikiwemo pia?
Mwanaume wa Shoka na Unayejiamini (hata kama ni Masikini) unatakiwa uwe na Msimamo 'Thabiti' kama waliounyesha Yanga SC Jana.
Yanga SC ni Watani zangu wakubwa sana na hakuna asiyejua jinsi GENTAMYCINE ambavyo huwa nawananga (nawasema) hapa JamiiForums mara kwa mara kwa 'Mapungufu' yao lakini kwa walichokifanya Jana nawaamkia 'Shikamooni' Yanga SC na Wanayanga wote popote pale mlipo.
Yaani haiwezekani umeshaagana na Mwanamke kuwa utamkanyaga (utamngono) Saa 11 na tayari hata 'Mkuyenge' nao umeuandaa ( umeunoa ) vilivyo ili kukutana na 'Mbunye' ghafla muda unabadilika na kuahidiwa baadae tena. Kiukweli inaboa, inakera na Kupandisha sana 'Hasira' hasa pale ukiwa na 'Nyege' za Pipa zima la Konoike au Strabag.
Sasa TFF na Serikali vitaheshimu Sheria, Kanuni na Utaratibu. Na pia TFF itajifunza kuacha kuwa sehemu ya Siasa za Tanzania hasa kwa 'Kujipendekeza' kwa Serikali ya Rais Mheshimiwa Mama Samia na Chama chake Tawala cha CCM.
Nitashangaa Watu wa Simba SC wakiilaumu Yanga SC na 'Kimchezo' kabisa wasipoipongeza kwa Msimamo wao ule 'thabiti' ambao ninauita ni wa 'Kiume' zaidi.
Waziri Bashungwa na Rais wa TFF Karia mnatarajia 'Kujiuzuru' Saa ngapi au lini kwa 'Upuuzi' wenu usiovumilika mlioufanya Jana na ulioacha 'Hasira' Kali Mioyoni mwa Wapenda Michezo wote nchini Tanzania GENTAMYCINE nikiwemo pia?